Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ollachuga Oc 👇👇👇👇
Screenshot_20200920-202450.png


Najua hapo kuonana ni siku kama ya leo wiki ijayo,ushajipiga ban.
 
Alisema Klopp kwamba kufanya mausajili mengi haimaanishi ndo kushinda ndani ya pitch. Bali ni kufaulu kutengeneza maelewano kwenye mazoezi na uwanjani.
 
Hii timu imepigwa vyuma na imeonewa.

Possession 61 kwa 39.

Liva ana kona 11 Chelsea ana kona 1

Means hata shots alikua hapigi
 
Hivi chelsea msimu unaanza mnasajili, mlikuwa mnasajili nini [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
J3 ntakulipia kisasi mtaani,kwahyo ww chill tu..

Haiwezakani wakubutue hivo.
 
Alisema Klopp kwamba kufanya mausajili mengi haimaanishi ndo kushinda ndani ya pitch. Bali ni kufaulu kutengeneza maelewano kwenye mazoezi na uwanjani.
Kwahyo wewe unaona kulikuwa hamna haja ya kusajili....!? Na kikosi kile cha msimu uliopita.....mbona mnajudge ndo kwanza game ya 2 na si game ya 38 mshaanza kutoa lawama....kikosi cha Leo sajili zote zimecheza?
 
Kwahyo wewe unaona kulikuwa hamna haja ya kusajili....!? Na kikosi kile cha msimu uliopita.....mbona mnajudge ndo kwanza game ya 2 na si game ya 38 mshaanza kutoa lawama....kikosi cha Leo sajili zote zimecheza?
Umeongea bro sema kuna watu huwa wanazingua mtu mzima lkn anajitoa akili
 
Trh 26 kama pulisic, ben na ziyech wakiwa bado ni majeruhi bc madaktari nao tumepigwa, injury gn hizo zisizopona.!

Kuna jamaa hapa kitaa jana aligogwa na ndege lkn leo yupo mzima nkachek nae mpira, sa iweje hao washindwe kama sio nao tumepigwa.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom