Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kiboko ya forward three ya liver ni Luiz pekee labda mngemcheki aje awape tafu emirates sio mbali na darajani kipindi hiki cha mapumziko atakuwa ashafika
 
Wakuu Mendez mkakae gorin nyote, kabla kipind cha pili hakijaanza aisee


Mvua ya magori inakuja 2nd half
 
Aiseee sijui kipind cha pili mtajificha wapi nyie, ombeni game iishe mapeme [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chelsea n wapuuzi sana, thiago alcantara alyesajiliwa na Liverpool juz tuu hapa anaweza kucheza mana yuko benchi lkn kwa Chelsea ety mpaka mchezaj afanye mazoezi
 
Kiboko ya forward three ya liver ni Luiz pekee labda mngemcheki aje awape tafu emirates sio mbali na darajani kipindi hiki cha mapumziko atakuwa ashafika
Tatizo alipoondoka walikejeli wakati wamebaki na mapambo tu huko nyumbo
 
Hili jukwaa linakuwaga tamu maana wageni mkija tu wenyeji wanakimbilia msituni na kuwaachia nyumba
 
Tumepoteza nafasi za wazi sana; kwasasa advantage ipo kwa Liverpool japo mpira dk 90.
The Blues
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom