Wewe ndo kiongonzi wa makubwa jinga kwasababu unauamini ujinga ulionao kuwa uko sahihi.Kubwa jinga moja limekufa jana, leo tunaenda kulishuhudia jinga lingine likipandwa na Majogoo!
Embu chelsea wenzangu tuache masihara,, mnataka tucheze na watu wasiokaba zaidi ya wanne kwenye mechi zidi ya bingwa mtetezi..Kwani kipindi Cha drogba ilikuwa alikuwa anaondoka na mabeki wawaili wa Kati alafu anacha mwanya kwa wakina malouda kalou na Lampard kufunga au kile kipindi Cha Diego costa
Kwahiyo uungi mkono Werner kucheza left wing na Giroud kucheza central forward?Embu chelsea wenzangu tuache masihara,, mnataka tucheze na watu wasiokaba zaidi ya wanne kwenye mechi zidi ya bingwa mtetezi..
Tukifanya ivo tutapigwa hadi tujute kwakweli..
Liverpool from pressing, passing, counter, set pieces kote yuko vizuri ni lazima timu icheze kwa tahadhari..
N:B, usiifananishe chelsea hii na chelsea ya kina drogba (ile ilijaa classic player karibia position zote uwanjani)
Endelea kupiga ramli,yaani tunapangua game moja moja paka mwisho.Nawaonea huruma mno maana siku zenu kuwepo jukwaani zinakaribia kufika ukingoniNawaonea huruma mno maana siku zenu kuwepo jukwaani zinakaribia kufika ukingoniView attachment 1574858
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tukutane baadaeLiverpool hawezi kushinda leo believe or not!,lakini ukweli nikwamba hawezi kuifunga Chelsea,msikalili.
Maisha yangekua rahisi hivi hata nyie mngekua na UEFA, Super Cup, Club World Cup, Royal Rumble, Smack Down pamoja F1. [emoji23][emoji23][emoji23]Leo wanangu wa Liverpool tunataka ushindi mnono
Golini kuna kepa ,tunataka Goli 5 na kuendelea
Jana mlikuja kuwasapoti WesthamMaisha yangekua rahisi hivi hata nyie mngekua na UEFA, Super Cup, Club World Cup, Royal Rumble, Smack Down pamoja F1. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi hatuna tatizo nyie kumsapoti nani. Hata tukibaki wenyewe tunaishi safi tu hakuna wa kubughudhi furaha yetu. Ila nyie mnakuja kuumbuka siyo muda jinsi mnavyotuombea tupoteze unashangaa nyie ndio mnaanza kupoteana.Jana mlikuja kuwasapoti Westham
Na sisi sio vibaya tunaomba Liverpool Leo ashinde 5 kama za mwez uliopita
Ongezeni bidii kwa maana wewe tangia ushabikie hiyo arsenane yako hamjawahi kubeba UEFA wa EUROPA cupEndelea kupiga ramli,yaani tunapangua game moja moja paka mwisho.
Hiyo ndio akili yake ilivyo ila ajue kuwa msimu Huu asipochukua kombe lolote ajiandae kubeba mizigo yake mapema hatutamchekea usoni kabisa hata Kama Ni legendLampard atampanga Werner kati ili awachezeshe LFC na Mount.
Hao ndio watakao amua sisi tucheze vipi. Kama hawataundiwa ulinzi shirikishi hakika leo na kesho hili jukwaa tutaliona shubiriAnold - Salah - Firmino - Mane - Robertson
Vs
Azipu - Zouma - Christensen - James
---------------------- Keppa --------------------------
Yan Henderson anaingia kwenye hicho kikosi halafu Kovacic akae nje? Big No No!LIVCHE SQUAD
View attachment 1575162
Ndio hao hao atakao watoboaWerner huyu huyu ndo alsema amekutana na mabeki ma.giant