Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Njoenii hukuuu nyieee vijamaaa....!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chelsea under the gravity
12371307_20200915160456_jpeg420e6bf1fb75ede635e9430fc40f984b.jpeg
 
Style yake ya kupiga penati kama kuruka mtaro wameishtukia makipa........bado mawili hapa na yaona.
 
Ipo siku mtanielewa na kuamini ninacho sema. Huyu LAMPARD ni tatizo kubwa kwenye klabu yetu. Tunashukuru kuwa amekuwa na ushawishi mpaka kusajili wachezaji wazuri. Lakini kwenye suala la ukocha hatufai kabisa, Lampard hafai kuifundisha Chelsea.

Ni upuuzi na kukosa kuwaheshimu wapinzani kwa kupanga kikosi cha namna ile, mpaka leo eti Lampard hajajua namna ya kupanga kikosi. 4-2-2-2 ndio nn mbele ya liverkuku
Takataka
 
Striking force yetu inamuhitaji mtu matured sana. Kuwachezesha kwenye kikosi kimoja Mount na Havertz inaweza kuleta shida kupata matokeo. Hii game inamuhitaji sana Giroud then Mount au Havertz mmoja acheze namba 10. Then mbele yao wakae Werner na Giroud.


Lakini Lampard anajua mipango yake. Best wishes the blues [emoji838][emoji838][emoji838]

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiasirike.

Hamjapata goli ila Kepa ana assisst.
 
Warembo wa humu mmeniachia jukwaa peke yangu jama..rudini tupambane
 
Hi team sio mbaya ila tupunguze back pass zimezidi FL abadilishe mfumo asikalili tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom