Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki wengi ikiwemo me tunapenda Sana Giroud akae centre forward na Werner left ili wakati mabeki wata concerned kwenye kumkaba Giroud kutatengeneza space ambazo zitatumiwa vizuri Sana Werner pamoja na midfielder wetu tatizo kubwa la Lampard macho yake Ni madogo Sana kuona hili
Hiv ndio anafanya kocha wa ufaransa
 
Kwani kipindi Cha drogba ilikuwa alikuwa anaondoka na mabeki wawaili wa Kati alafu anacha mwanya kwa wakina malouda kalou na Lampard kufunga au kile kipindi Cha Diego costa
Umeshasma kipindi cha Drogba hapo tunazungumzia miaka mitano nyuma hizo mbinu kwa sasa haziwezi kufanya kazi kila mtu keshazijua hizo mbinu. Ufanisi ninaoongelea hapa ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja hasa Giroud kuweza kutoka chini na kwenda kuongeza pressure kwa mabeki na Werner uwezo wa kuona chance ya goli.
 
Hiyo Sunday sijisumbui..

Nawapa Liverpool ushindi na goli 3
Naweka laki 1, inakuja laki 2!

Mbona maisha simple tu.
Ahaa ngoja kwanza siku wakicheza arsenyeto na livakuku uta weka wapi? Hiyo laki moja yako tuone hayo maisha simple
 
Umeshasma kipindi cha Drogba hapo tunazungumzia miaka mitano nyuma hizo mbinu kwa sasa haziwezi kufanya kazi kila mtu keshazijua hizo mbinu. Ufanisi ninaoongelea hapa ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja hasa Giroud kuweza kutoka chini na kwenda kuongeza pressure kwa mabeki na Werner uwezo wa kuona chance ya goli.
Kwani kocha wa ufaransa kafanikiwaje si kwa njia hii ndio maana Giroud kwake Ni chaguo number 1 au mpira ufuatilii?
 
Kwani kocha wa ufaransa kafanikiwaje si kwa njia hii ndio maana Giroud kwake Ni chaguo number 1 au mpira ufuatilii?
Mkuu tuishie hapo uko sawa kwa upande wako nami niko sawa kwa sababu unachokiona ndio ni sawa lakini sicho wanachomaanisha na ndicho nilichokua nakuelezea mimi.

Ni uwezo binafsi wa mchezaji ndio unamfanya anaitwa hata timu ya taifa. Kama ingekua ni ivyo eti kwa ajili ya kuwazuga mabeki tu basi Lacazette na kina Gignac wangekua wanapewa nafasi zaidi ya Giroud.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukwel n kwamba kesho hatutoboi hata karatasi, n bora niandae maumivu afu nipate surprise ya ushindi kuliko kujitia imani kuna kushinda.
 
Hiyo Sunday sijisumbui..

Nawapa Liverpool ushindi na goli 3
Naweka laki 1, inakuja laki 2!

Mbona maisha simple tu.
Hahaaa hata mm sijisumbui

Ukikutana na Chelsea ,forward zako zina uhakika wa kupata mashuti Angalau matano tu kwa mech nzima ,basi una uhakika wa goli 2-3
 
Ahaa ngoja kwanza siku wakicheza arsenyeto na livakuku uta weka wapi? Hiyo laki moja yako tuone hayo maisha simple
Tumia lugha nzuri mkuu, wala hutopata hasara yoyote... Sana sana heshima ambayo ni faida kwako
 
Mashabiki wengi ikiwemo me tunapenda Sana Giroud akae centre forward na Werner left ili wakati mabeki wata concerned kwenye kumkaba Giroud kutatengeneza space ambazo zitatumiwa vizuri Sana Werner pamoja na midfielder wetu tatizo kubwa la Lampard macho yake Ni madogo Sana kuona hili
Ni kweli kabisa, wakimdhibiti Giroud, Werner anafanya vitu, wakimdhibiti Werner, Giroud anafanya vitu. Hata akina Odoi, Mount Havertz watapata space ya kufanya wanachotaka. Zaidi ya hapo watashindwa kupanda watakavyo na kwa hiyo mabeki wetu watafichiwa madhaifu yao
 
Wanachelsea wenzangu naona kama bado hatuna timu ya kuweza kushindania ubingwa bali tuna timu ya kupunguza gap la point 33 kwenda labda kwenye point 10-15, Pia ninaamini tukiweza kuwaondoa akina barkley, jourginho, alonso, emerson na wanaofanana na hao na tukiweza pia kuwafanya akina Mount, Odoi, Zouma, Christensen, Kepa kuwa SUB halafu tukaweza kusajili CB wawili, DM mmoja na Kipa world class hata kama Mendy atasajiliwa, basi baada ya hapo tunaweza kushindania ubingwa wa epl au uefa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom