nasemakweli
Member
- Nov 29, 2018
- 50
- 74
Hivi kuna anayejua kama Chelsea walimuuza Tariq Lamptey na buy back clause?
Mimi namuona Lamptey anafaa sana RB kuliko hata Azpi na Reece
Kule Brighton anakiwasha ile mbaya
Yaani huyu dogo analeta matatizo kwenye defense ya Newcastle
Anakaba na anapanda kama umeme
Mimi namuona Lamptey anafaa sana RB kuliko hata Azpi na Reece
Kule Brighton anakiwasha ile mbaya
Yaani huyu dogo analeta matatizo kwenye defense ya Newcastle
Anakaba na anapanda kama umeme
