Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanachelsea wenzangu naona kama bado hatuna timu ya kuweza kushindania ubingwa bali tuna timu ya kupunguza gap la point 33 kwenda labda kwenye point 10-15, Pia ninaamini tukiweza kuwaondoa akina barkley, jourginho, alonso, emerson na wanaofanana na hao na tukiweza pia kuwafanya akina Mount, Odoi, Zouma, Christensen, Kepa kuwa SUB halafu tukaweza kusajili CB wawili, DM mmoja na Kipa world class hata kama Mendy atasajiliwa, basi baada ya hapo tunaweza kushindania ubingwa wa epl au uefa
Hufai kabisa kwenda vitani,askari gani unayekata tamaa mapema kiasi hicho.
 
Ushindi wa tabu, bado kikosi chetu kinachanganywa matikitiki maji, matembele, mapeazi, mafenesi, matango sehemu moja
Vita bado sana, haya matikiti maji, matembele, mapeazi, mafenesi, matango, mapera ndizo tutakazozitumia hadi mwisho kwenye vita na ndio maana sioni timu ya kushindania ubingwa. Akiumia Pulisic tunaye Barkley, Akiumia Ziyech tunaye Odoi, Akiumia Kante tunaye Jorginho. Haya na mchanganyiko utaendelea hadi ligi ifikie mwisho
 
Blues Mtaweza kumfunga liverpool?
Kesho tutaishi hapa na bwana Alhaj Sadio Mane

#Coyg
 
Mikel Arteta: W

Ole Gunner Solskajaer: L.

Now we wait for Kai Havertz to confirm Lampard L tomorrow.

Agenda must agend.
Nawaonea huruma mno maana siku zenu kuwepo jukwaani zinakaribia kufika ukingoni
Blues Mtaweza kumfunga liverpool?
Kesho tutaishi hapa na bwana Alhaj Sadio Mane

#Coyg
Nawaonea huruma mno maana siku zenu kuwepo jukwaani zinakaribia kufika ukingoni
JamiiForums4078144.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
GOAAAL!!

"Ni yule yule! Mudi Salah.. Walimuuza wenyewe, anakamilisha hatrick yake ya 2 ya msimu kwa kamba safi kabisa.

Huyu Kepa ni shati kabisa, ameshindwa hata kuruka.. Anauangalia tu mpira ukiingia kimiyani"

 
Sisi tunaingia humu, tunatia njaa muda wote lakini hatutukani,
Inakuwa sio vema kuja kule kwetu kutukana matusi,

Na leo tutakuwă hapa kuwasapot ndugu zetu wa London,

CHELSEA TUMEITAKA WENYEWE WACHA ITUUE
 
Sisi tunaingia humu, tunatia njaa muda wote lakini hatutukani,
Inakuwa sio vema kuja kule kwetu kutukana matusi,

Na leo tutakuwă hapa kuwasapot ndugu zetu wa London,

CHELSEA TUMEITAKA WENYEWE WACHA ITUUE
So unatusapoti tufungwe au tushinde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom