Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,199
Naona kabisa Kante na Kovacic ndio waokoa jahzi hapa. Ila kule mbele tunaweza kupata shida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameanza kuikataa timu yao mapemaNaona mmeanza kulialia mapema..... Ngoja mtiwe kidude
Striking force yetu inamuhitaji mtu matured sana. Kuwachezesha kwenye kikosi kimoja Mount na Havertz inaweza kuleta shida kupata matokeo. Hii game inamuhitaji sana Giroud then Mount au Havertz mmoja acheze namba 10. Then mbele yao wakae Werner na Giroud.
Lakini Lampard anajua mipango yake. Best wishes the blues
Sent using Jamii Forums mobile app





Chelsea timu inayopenda kupokea pesa inawatoa kwa mkopo akina bakayoko inawauza wachrzaji wazurBasi kama ni hivyo tumempoteza RB mzuri ambaye baada ya miaka miwili tutaanzisha bid ya kumnunua kwa paundi mil 80 kama ilivyo kwa Declan Rice
Pazia la HekaluView attachment 1575329
Unatupigia kelele kwenye thread zetu Kumbe fan wa Chelsea,Jiandae kulala bila chupi jioni ya leo Wanaume anafanya yake darajani hapo.Ipo siku mtanielewa na kuamini ninacho sema. Huyu LAMPARD ni tatizo kubwa kwenye klabu yetu. Tunashukuru kuwa amekuwa na ushawishi mpaka kusajili wachezaji wazuri. Lakini kwenye suala la ukocha hatufai kabisa, Lampard hafai kuifundisha Chelsea.
Ni upuuzi na kukosa kuwaheshimu wapinzani kwa kupanga kikosi cha namna ile, mpaka leo eti Lampard hajajua namna ya kupanga kikosi. 4-2-2-2 ndio nn mbele ya liverkuku
Refa mpuuuzRed card Christensen. Ondoa mshambuliaji weka Rudger tupaki basi mpaka mwisho, tutafute draw.
Red card Christensen. Ondoa mshambuliaji weka Rudger tupaki basi mpaka mwisho, tutafute draw.
Kupaki basi ?sio kushambulia?Red card Christensen. Ondoa mshambuliaji weka Rudger tupaki basi mpaka mwisho, tutafute draw.

















