Cash Money Forever unamaanisha Nini?Mchezaji huru wa bure amekwenda kumuweka bechi £72M.
Cash Money Forever unamaanisha Nini?Mchezaji huru wa bure amekwenda kumuweka bechi £72M.
Naona amemaanisha Willian ameenda kumuweka benchi comrade kipepeCash Money Forever unamaanisha Nini?
Akienda Barkley atamuweka benchi Ozil mchezaji anayewanyima Arsenal kusajili kwa sababu anachukua mzigo mikubwa kila wikiNaona amemaanisha Willian ameenda kumuweka benchi comrade kipepe
Amekuwa mzuri baada ya kuondoka Arsenll[emoji23][emoji23]Emiliano Martinez ajiunga na Aston Villa kutokea Arsenal. Nilijua tu GK mzuri kama Martinez asingekubali kuwa sub
Pumba,Mchezaji huru wa bure amekwenda kumuweka bechi £72M.
Nyie watoto mnafikiriaga kwa kutumia organ gani? Ozil bench kaanza kukaa leo? Mkivuta bangi msiwe mnaingia JFAkienda Barkley atamuweka benchi Ozil mchezaji anayewanyima Arsenal kusajili kwa sababu anachukua mzigo mikubwa kila wiki
Hao wanawasumbuaga nyie tu km msimu uliopita waliwala nje ndaniNaona mnawashwawashwa, [emoji1787][emoji1787] malizeni noma yenu leo kwanza
Kwamba?Oyah, machelesee leo muna cheza, tutegemee nini hapo baadae?
Zile taka taka zenu mulizo sajili zitaleta maajabu yoyote, au ndio mwendo wa kupigwa?
GGMU.
Majibu ya Klopp, Niliboreka niliposikia anasema hivyo. Maoni yake ya kushangaza, Yeye miaka minne na nusu katumia pesa nyingi leo Chelsea ikitokea kwenye ban ikitumia pesa kuimarisha timu anaita timu inaongozwa na tajiri mmoja kutoka nje, hapo akimponda Roman AbramovichNimependa sana majibu ya Lampard kwenye hii interview na Sky.
Kuhusu academic players amesema hakuwa na mpango wa kuijenga club kupitia acdamic player's Ila aliwatumia kwa sababu hakuwa na option nyingine ya kupata wachezaji baada ya transafer ban
Anasema usajili mkubwa uliofanyika ni kwa maana kubwa ya kuipeleka Chelsea kwenda next level
Kuhusu kuwa na presha kama kocha baada ya hizi sajili. Amejibu kwamba kama kocha kila situation ni presha, msimu ulioisha alikuwa na presha na msimu huu utakuwa na presha, anaifahamu Chelsea na yeye ni shabiki wa Chelsea anajua mashabiki wanataka nini. View attachment 1569515
Yeah man na mi nakuunga mkono kwa hilo...hapo KWA Christensen akae zouma...na uwepo Wa havertz na mount unafanya kikosi kuwa more attacking minded . KTBFFHHii prediction naweza kuiunga mkono kwa maana kwamba:-
Pulisic:- Apumzike mechi hii ili apone vizuri tatizo lake la misuli ya paja. Ishu ya kulazimisha kucheza na maumivu itatucost zaidi huko mbeleni
Siungi mkono kwa Christensen kucheza mzee wa maboko na mzito. Zouma aanze aendeleze ile form yake nzuri ya kukaba njia na kucheza mipira ya juu.