Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea akisajili watu negativity inkuw kubw kma wao usajili wao ni perfect
Willian kipind yupo Chelsea walkuwa wanamponda san Leo kacheza kwao wanamuon mfalme
Tuliwaambia hapa mchezaji akitoka Chelsea akienda arsenal ni first eleven wakabisha kiualisia ndio hivyo.
 
lembu Xavier muyamba Ni Nani na amesajiliwa kutoka team gani?
Barcelona, alikataa kusaini mkataba mpya baada ya kukosa muda wa kutosha wa kucheza kulingana na historia ya Barcelona ya kutowapa chipukizi nafasi ya kucheza. Chelsea scout walimfuatilia muda mrefu na hatimaye mwezi uliopita ndipo wakapata saini yake. Ni beki mzuri na wachambuzi wengi wa soka wanamfananisha na VVD wa Liverpool kwa ukabaji wake nadhani pia kwa sababu ni mholansi MAY BE
 
Tuliwaambia hapa mchezaji akitoka Chelsea akienda arsenal ni first eleven wakabisha kiualisia ndio hivyo.
Ongeza hata yale makapi kama Luiz, kule kwao ni HOT CAKE. Na hii ndio tofauti ya Arsenal na Chelsea majirani. Wakiambiwa Chelsea ni timu kubwa wanakataa wao wanang'ang'ana na historia iliyokufa. Hata Barkley akitoka huku kule atakuwa zinga la MF kwao
 
Ongeza hata yale makapi kama Luiz, kule kwao ni HOT CAKE. Na hii ndio tofauti ya Arsenal na Chelsea majirani. Wakiambiwa Chelsea ni timu kubwa wanakataa wao wanang'ang'ana na historia iliyokufa. Hata Barkley akitoka huku kule atakuwa zinga la MF kwao
Acheni gubu nyie kenge, mume ushamuacha lakini bdo unamwongelea inaonekana bado hamjapta mtu wa kuziba pengo
 
Mashabiki wa Chelsea 4,200 wamevote hii line up dhidi ya Brighton
1599997403415.png
 
Chelsea made good use of coronavirus pandemic to sign Havertz, says Leverkusen director Voller

1600018210789.png

Bayer Leverkusen director Rudi Voller says the Covid-19 pandemic made it easier for Chelsea to sign Kai Havertz.

Leverkusen had not wanted to lose their star player and Voller says they would have held out for more had it not been for the financial hit they have taken as a result of the pandemic.

"Chelsea simply made good use of the coronavirus period," Voller told Bild. "Next year it would have been much harder for Chelsea to get Kai. [Other interested teams] preferred to hold back because of the high transfer fee in this special and uncertain time."

As well as Havertz, Leverkusen saw 28-year-old striker Kevin Volland leave for Monaco in a deal worth a reported €15m (£14m/$18m).

Although they have signed Patrik Schick from Roma and Lennart Grill from Kaiserslautern, Voller says they cannot afford to reinvest all of the money from player sales in the first team.

"We also have significant revenue losses in times of the coronavirus. We will of course take that into account and certainly not completely reinvest the transfer fee we got for Kai Havertz," he added. "Although we still have to do something to maintain the level or to improve.
 
Emiliano Martinez ajiunga na Aston Villa kutokea Arsenal. Nilijua tu GK mzuri kama Martinez asingekubali kuwa sub
 
Timu nne hazichezi wiki hii ya kwanza Why?
  1. Man United
  2. Manchester city
  3. Aston Villa na
  4. Burnley
 
Timu nne hazichezi wiki hii ya kwanza Why?
  1. Man United
  2. Manchester city
  3. Aston Villa na
  4. Burnley
Wanasema inabidi kuwe na gap la siku 30 from timu inaaga michuano ya Ulaya mpaka kuanza kwa ligi.

Siku hazikuwa zimetimia kwa hizo timu mbili yaani Man u na Man city.

The same thing ilitokea kwa timu zingine za Ulaya zilizofika hatua za mbali kwenye michuano ya ulaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom