OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,312
Kwani wewe unatakaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya wanaume wanapambania community shield kisahani wewe unaleta habari ya wakina mama
Kwani wewe unatakaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Oya wanaume wanapambania community shield kisahani wewe unaleta habari ya wakina mama
Hilo nalo kombe
Huyu jamaa fundi sana,ana stahiliMateo ndiye mchezaji wa msimu ChelseaView attachment 1548313
Kwani mpira ulikuwaje mkuu.Kiukwel hatuna kocha, huyu Lampard kila siku nasema hapa hafai kuifundisha Chelsea. Ni nn hichi wamecheza leo, takataka juu ya takataka.
Jamaa unachuki binafsi nilichogunduaKiukwel hatuna kocha, huyu Lampard kila siku nasema hapa hafai kuifundisha Chelsea. Ni nn hichi wamecheza leo, takataka juu ya takataka.
Aha kumbe walifanya sub kikosi kizima apo sawaJamaa unachuki binafsi nilichogundua
Btw hii ni pre season kila player anahitaji kupata nafasi amuoneshe kocha uwezo wake
Huwezi ukafanya sub 1-2 pre season makocha wengi huwa wanawapa hata hao watoto wa academy nafasi ya kuonesha
2nd half sr player walikuwa giroud,cabalero ,azplicueta na rudiger
Unataka kante,werner,kovacic,,alonso,cho,ziyech na etc wacheze dk 90 hii ni pre season huwezi chezesha wachezaji wako kwa dk 90 wakati wako wengine
Na sidhani hata kama game uliangalia
Ampadu karudi?Kweli SUB zilikuwa nyingiView attachment 1552192View attachment 1552194
Tumpe muda mkuu.Game yote kuanzia dakika ya kwanza mpaka mwisho nimeangalia. Mm nimesema kocha ndio tatizo na si wachezaji nielewe tafadhali. Huyu Lampard hana mbinu mpya bado ni yuleyule
Jana nilisema kwamba Lampard amepata wachezaji wazuri sana, msimu ujao aboreshe mbinu zake kwa maana kwamba timu isicheze flat dakika 90, abadili mbinu/style ya uchezaji kwendana na mechi inavyobadilika.
Madhara ya kucheza flat ni kama yale ya msimu uliosha timu inaanza kwa kushambulia ikipata goal, inarelax inampa adui muda wa kupumzika, kutusoma, kujipanga, kutushambulia na kutuadhibu.
Jamaa unachuki na lampard na waingereza wote ndio kitu nilichogundua hakuna kingineGame yote kuanzia dakika ya kwanza mpaka mwisho nimeangalia. Mm nimesema kocha ndio tatizo na si wachezaji nielewe tafadhali. Huyu Lampard hana mbinu mpya bado ni yuleyule
Pamoja na ya Ziyech na wernerLeo ata siwez mlaumu lampard preseason games huwa cio za kukamian san
But combination ya ziyech na James ikitulia itakua nzr
Hata man u chini ya van gaal kwenye pre season waliwasha Moto haswa waliwafunga Bayern, Barcelona na R.Madrid ila baada ya league kuanza kila mtu anajua kilichotokea.Jamaa unachuki na lampard na waingereza wote ndio kitu nilichogundua hakuna kingine
Huwezi ukamquestion kocha kwa 1st game ya pre season n game zote za pre season
Ndio team inaweza poteza game zote za pre season na usisikie kitu chochote
Uwezo wa kocha huwa unapimwa kwenye competitive games
Lalamika wakati wa league,ucl ,sio kweny pre season
Wakati wa conte baada ya costa kuondoka batshuayi aliwasha moto kwenye pre season ila league ilivyoanza kila mtu anajua kilichotokea
Hakuna kocha pale mkuu,mtu wamemtoa Derby Championship wanataka awape mataji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinacho tuuma sisi mashabiki wa chelsii frenki kaja tokea mwanzo wa msimu hana hata kombe la kuku[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1552345
Hahaha hivi Leo na Brighton wametokaje?Hakuna kocha pale mkuu,mtu wamemtoa Derby Championship wanataka awape mataji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasemaje, ww unahitaji kufanya usajili wa million 300 ndio uchukue hilo kombe la FA, now you see the difference between us.Hilo nalo kombe