synthesizere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 882
- 1,265
Masikini akipata matter core hulia mbwatter.
Wakuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.


Masikini akipata matter core hulia mbwatter.
Wakuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.


Hivi Pulisiki mlisajili mwaka gani vile?Chelsea net spend since July 2019:
IN: Werner £47.5m, Ziyech £33.6m, Chilwell £50m, Kovačić £40m.
TOTAL: £171m
OUT: Hazard £100m, Morata £58m, Pasalic £14m, Aina £9m, Kalas £8m, Luiz £8m, Hector £5m, Omeruo £5m.
TOTAL: £207m
🟢 𝐍𝐞𝐭 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭 = £36m
@Chelsea247



A.k.a Born-TownMasikini akipata matter core hulia mbwatter.
Wakuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.


Cheltyako utawaweza mkuuHivi Pulisiki mlisajili mwaka gani vile?
Wowowo fc ni wasahaulifu sana


Yani akili wamezijaza kwenye matyako




Pulisic alisajiliwa mwezi wa kwanza dirisha dogo tukamuacha kwa mkopo Borrusia Dortmund.Hivi Pulisiki mlisajili mwaka gani vile?
Wowowo fc ni wasahaulifu sana
Vitu vingine hamjui mna force tu. Hapo ni takwimu za toka July 2019 Pulisic alisajiliwa transfer window ya January.
Wewe acha kujizungusha.. Hivi unajua kati ya Hazard na Pulisic nani alitangulia kununuliwa au kuondoka?Pulisic alisajiliwa mwezi wa kwanza dirisha dogo tukamuacha kwa mkopo Borrusia Dortmund.
Ndio tayari tushakuonyesha nini maana ya uwanaume nyie mnaleta habari ya community shield ya wakina mama hapaKwani wewe unatakaje![]()
Kwenye preseason huwa hatuangalii sana matokeo ila uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na je kama ataweza kuingia kwenye first team ligi ikianzaJamaa unachuki binafsi nilichogundua
Btw hii ni pre season kila player anahitaji kupata nafasi amuoneshe kocha uwezo wake
Huwezi ukafanya sub 1-2 pre season makocha wengi huwa wanawapa hata hao watoto wa academy nafasi ya kuonesha
2nd half sr player walikuwa giroud,cabalero ,azplicueta na rudiger
Unataka kante,werner,kovacic,,alonso,cho,ziyech na etc wacheze dk 90 hii ni pre season huwezi chezesha wachezaji wako kwa dk 90 wakati wako wengine
Na sidhani hata kama game uliangalia
Hiyo Ni pre season sio mechi za mashindano.Nasikia wote walicheza
Na hapo imesajili, hivi isingesajili sasa hivi sijui tungekuwa tunaongea nini!
![]()
Acha umbatata wewe. Pulisic kasajiliwa January, Hazard kaondoka July baada ya kuwapakata kwenye EL final.Wewe acha kujizungusha.. Hivi unajua kati ya Hazard na Pulisic nani alitangulia kununuliwa au kuondoka?
Nilisema Usajili wa winger mwingine lazima ufanyike baada ya willan kuondoka. Hatuwezi kumtegemea Odoi akawa sub ya both Pulisic na Ziyech.
Pulisic ni vulnerable to injuries hawezi cheza mechi 5 mfululizo bila injury, aina yake ya uchezaji kuforce kupenetrate ngome za adui lazima akutane na makwanja, mabuti kutoka kwa mabeki pinzani.
Odoi mwenyewe siku hizi anapata majeraha kirahisi. Sasa itukute odoi, Pulisic wote majeruhi. Mount, Cheek, Barkely watejeuzwa kuwa mawinga butu.
Kubeba ubingwa ni kujipanga na sio kubahatisha. Tusajili replacement ya Pedro.
Ziyech sishangai kupata injury. Hajacheza mechi ya kimashindano toka March amefanya tu mazoezi ambayo hakuna mikiki kama mechi ya kirafiki au ya kimashindano. Yan ilikua ni lazima angepata majeraha hata kama siyo mechi ya jana.Kuna shabiki mmoja kasema kule twitter hii team imelaaniwa kwa majeruhi baada ya Ziyech kuumia
Hii preseason inaweza kutuletea majeruhi ya kijingajinga tukaanza ligi vibaya tusipokuwa makini
View attachment 1552624
View attachment 1552625
Mount alishacheza winga wa kushoto japo mara chache na alifanya vizuri, RLC nae wakati wa Sarri alishacheza winga wa kushoto na kuliaMount, Barkely & Cheek ni ATM