Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ngoja niwasaidie kitu. Ukiwa kama shabiki wa Chelsea hebu chukua muda wako kuangalia video clips za Kai Havertz YouTube kisha uje hapa useme kama unaridhishwa na £90m.

Yule mchezaji kwenye timu yangu hachezi kabisa. Labda atokee Sub!

Magoli aliyoshinda na assist unaona kabisa kiwango chake ni cha kubahatisha. Uwezo pia ni mdogo.

Halafu unataka kwa pesa umsajili aje kukutana na watu wa kazi wa kina Coady au Soyüncu.. Si mtakuwa mnamtukana kila siku.



Lakini kabla ya yote!

Turudi hapa

LONDON IS RED!
 
Tumpe muda mkuu.
David Luiz Born-town, yupo North London kwa wajanja anakula maisha.
IMG_20200829_221442.jpg
 
Chelsea net spend since July 2019:

IN: Werner £47.5m, Ziyech £33.6m, Chilwell £50m, Kovačić £40m.

TOTAL: £171m

OUT: Hazard £100m, Morata £58m, Pasalic £14m, Aina £9m, Kalas £8m, Luiz £8m, Hector £5m, Omeruo £5m.

TOTAL: £207m

🟢 𝐍𝐞𝐭 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭 = £36m
@Chelsea247
 
Chelsea net spend since July 2019:

IN: Werner £47.5m, Ziyech £33.6m, Chilwell £50m, Kovačić £40m.

TOTAL: £171m

OUT: Hazard £100m, Morata £58m, Pasalic £14m, Aina £9m, Kalas £8m, Luiz £8m, Hector £5m, Omeruo £5m.

TOTAL: £207m

🟢 𝐍𝐞𝐭 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭 = £36m
@Chelsea247
Tukumbuke na Kai anakuja kwa £90m

IMG_20200825_131544.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom