Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kumbe ?wamesuluhu na mtoto mdogo na mpira mbovu.
Takataka itabaki kuwa takataka tu!
Kipa lilikuwa lile Pazia lao?
Kumbe ?wamesuluhu na mtoto mdogo na mpira mbovu.
Takataka itabaki kuwa takataka tu!
Hawa acha wapige kelele tu ,Narudia kauli yangu, Werner ni Morata aliechangamka!
Tusubiri msimu uanze, ni kiasi cha muda tu.
Unawaumiza ndugu zangu hawaNarudia kauli yangu, Werner ni Morata aliechangamka!
Tusubiri msimu uanze, ni kiasi cha muda tu.



London is REDNasikia wote walichezaKumbe ?
Kipa lilikuwa lile Pazia lao?





Nasikia kesho kutwa wanapigwa tena £90m kwa utopolo mwengineUnawaumiza ndugu zangu hawaLondon is RED





Hawana maajabu Arteta nusu msimu 2 trophies Lampard one full season 0 trophiesNasikia kesho kutwa wanapigwa tena £90m kwa utopolo mwengine![]()










David Luiz Born-town, yupo North London kwa wajanja anakula maisha.Tumpe muda mkuu.
Ni mwendo wa makombe tu!David Luiz Born-town, yupo North London kwa wajanja anakula maisha.View attachment 1552441







Chelsea net spend since July 2019:
IN: Werner £47.5m, Ziyech £33.6m, Chilwell £50m, Kovačić £40m.
TOTAL: £171m
OUT: Hazard £100m, Morata £58m, Pasalic £14m, Aina £9m, Kalas £8m, Luiz £8m, Hector £5m, Omeruo £5m.
TOTAL: £207m
🟢 𝐍𝐞𝐭 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭 = £36m
@Chelsea247



Tukumbuke na Kai anakuja kwa £90mChelsea net spend since July 2019:
IN: Werner £47.5m, Ziyech £33.6m, Chilwell £50m, Kovačić £40m.
TOTAL: £171m
OUT: Hazard £100m, Morata £58m, Pasalic £14m, Aina £9m, Kalas £8m, Luiz £8m, Hector £5m, Omeruo £5m.
TOTAL: £207m
🟢 𝐍𝐞𝐭 𝐏𝐫𝐨𝐟𝐢𝐭 = £36m
@Chelsea247



Kweli hawa mid table maskini kapata duhMasikini akipata matter core hulia mbwatter.
Wakuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.