John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,040
Mtaendelea kusikia tu tetesi mpk dirisha linafungwa ...wachezaji wenu wa next week mbona hatuwasikiihii timu haina tofauti na utopolo,mpaka sasa washasajili wachezaji kumi na bado kuna kibabu nasikia kinatoka farmers league kinakuja kufata pesa zake za kustaafu