Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Furahieni walau kikombe msimu huu maana mashabiki Wa arse8 mshaanza kupata mfadhaiko msimu huu nafac ya 8 ..na bosi wenu alivyobahili mtapata wachezaji Wa mafungu...au zile biashara za kibahiri unapeleka mchezaji mmoja na pesa kidunchu ndo mpate mchezaji mnayemtaka...hongereni timu kubwa London mpk sahv mnalipa mdogomdogo ile pesa ya kipepe haaahaaaa ama kweli arse8 hakika msimu ujao ubingwa wenu
Sasa wewe na wachezaji wako wa maana una nini?Hujiskii vibaya unamwaga pesa afu unakalishwa na hao unaowaita wachovu[emoji3][emoji3]
Sisi tutakufunga hata umsajili Messi, wewe ni wetu tu.
Hiyo ndio maana ya Timu kubwa.
 
Mkuu heshima yako ni kubwa sana hapa usitake kujivunuia kwa vitu vya kijinga. Ile game ya Ajax kila mtu aliiona sijui unachoandika hapa unakitoa wapi?

SMH!! unaanza kureflect akili za Arse8 fans.
Mlibebwa wazi wazi katika game ile ila kwa kuwa ushabiki wa cheltako umekukaa kooni unaamua kukakamaza fuvu
 
Anyway nakumbuka fainali ya FA 2017 tulicheza na nyinyi pia na tuliwafunga 2 - 1 na sikumbuki Giroud kucheza ile game ndiyo maana nimeuliza kaondoka lini.
Aliondoka msimu wa 2017/18 usajili wa January tulicheza na Man Utd fainali tukawapiga akabeba kombe. Tukaja kucheza fainali ya EL mwaka jana akabeba mbele yenu.
 
Aliondoka msimu wa 2017/18 usajili wa January tulicheza na Man Utd fainali tukawapiga akabeba kombe. Tukaja kucheza fainali ya EL mwaka jana akabeba mbele yenu.
Fainali ya kiboya sana ile. Mlitupiga goli la mapema timu ikapoteana. Jana mlivyotupiga la mapema nikakumbuka ile fainali nikawaza au na leo tena?

Lakini spirit ikawa kubwa tofauti na ile fainali ya EL so nikajua tuna fighting chance.
 
Mechi ya jana hatukucheza na Arsenal

Ilikuwa ni Antony Taylor vs Chelsea FC na matokeo ni 2-1 Mabao yote ya Antony Taylor yakifungwa na Auba. ilikuwa lazima tufungwe
 
Kuhusu Martinez kudaka nje ya eneo lake, kwenye sheria za mpira huwa wanahukumu kutokana na position ya mwili kwa sababu huwezi kupima mpira ulio kwenye spacekuwa uko ndani au nje
 
Pamoja na kwamba Arsenal walicheza 12 (akiwemo mshambuliaji wao mahiri anayeitwa Antony Taylor) sisi tukacheza 10, hata hivyo wachezaji walibadilika ghafla baada ya 20 minutes hivi na kuanza kucheza slow zikiambatana na rafu nyingi. Yaani tulicheza kama manyumbu vile kwenye semi-final. Chelsea wangeendelea kucheza na kupress kama walivyoanza hata Arsenal wangecheza 13 tungewalamba tu jana, basi tu bahati haikuwa upande wetu
 
Soma alivyosema mshabiki mmoja wa Man city
As a Man City fan, it seems that the FA always wanted Arsenal to win the cup final and get into Europe at the expense of less fashionable Wolves. There were several refereeing decisons which went against Chelsea by Taylor, whose record is abysmal. Why no check of the alleged handball outside the box by the Arsenal goalie was one such decision. The penalty and the red card were also 50:50 but all three went the way of Arsenal.
I do not support any of these teams but the referee was very biased towards arsenal . Why didn't they check VAR over the sending off it would've taken 30 seconds ? Arsenal now tagged with cheating and diving
 
Pamoja na kwamba Arsenal walicheza 12 sisi tukacheza 10, hata hivyo wachezaji walibadilika ghafla baada ya 20 minutes hivi na kuanza kucheza slow zikiambatana na rafu nyingi. Yaani tulicheza kama manyumbu vile kwenye semi-final
Kweli kabisa..kwa mtu makini kipindi Cha kwa kilionyesha tunaelekea kufungwa..yaani hakuna mchezaji hata mmoja aliyeweza ku dribble kuwapita wachezaji angalau wawili wa arsenal kipindi Cha kwanza..
Tulicheza vibaya Sana Jana..huo ndio ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom