DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
Narudia kusema uwe mshabiki wa CHELMATAKO au wa timu nyingine na unalalamikia ushindi wa jana wa Arsenal huo ni upumbavu kwa sababu uchavu alioufanya jana Lampard ni uhalifu wa kimataifa kwenye mpira au kwa jina lingine ni Ugaidi kwenye mpira
katika dakika kama 73 Chelsea alizocheza akiwa kamili uwanjani hawakupata goli hata la offside Arsena walitufanyia uonevu mtupu. Katika yellow card 6 Chelsea alizopewa zote zilikuwa fair ikiwemo yellow ya Azpilicueta ilikuwa ni redcard ya wazi kabisa including uamuzi wa penalti ni wa halali yaani yule Azipu kutopewa red ilikuwa ni kama kupewa sadaka ya Iddi kwakweli tumshukuru sana refa maana bila ya yeye ilitakiwa tucheze 8 uwanjani na tungepigwa kipigo cha mbwa koko na hawa wababe wa London. Foolish CHELTAKO in EPL
safi sana ,huu ndio ustaarabu