lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Ingekuwa sisi Chelsea ni walalamishi tungelalamikia mechi nyingi tulizofungwa
Mechi ya kwanza na Manyumbu, tulifungwa kihalali japo Chelsea ilikuwa timu bora
Mechi na Bayern walituzidi kila kitu
Mechi zingine tuliviziwa na timu ndogo lakini walitufunga kihalali hatukulalamika
Lakini hii ya Jana dhidi ya Taylor, sio sisi Chelsea ndio tunalalamika, wadau wote wa mpira wanalalamika, nenda Youtube, nenda kwenye mitandao au media za sports mashabiki wengi sio tu wa Chelsea wanamlalamikia refer mbovu Taylor
Hii itaendekea sasa EPL wafikirie kuingiza kwenye review njano ya pili inayosababisha red kwa sababu marefa wajinga kama Taylor wakiachiwa waamue peke yao wataharibu hii burudani safi ya mpira
Mechi ya kwanza na Manyumbu, tulifungwa kihalali japo Chelsea ilikuwa timu bora
Mechi na Bayern walituzidi kila kitu
Mechi zingine tuliviziwa na timu ndogo lakini walitufunga kihalali hatukulalamika
Lakini hii ya Jana dhidi ya Taylor, sio sisi Chelsea ndio tunalalamika, wadau wote wa mpira wanalalamika, nenda Youtube, nenda kwenye mitandao au media za sports mashabiki wengi sio tu wa Chelsea wanamlalamikia refer mbovu Taylor
Hii itaendekea sasa EPL wafikirie kuingiza kwenye review njano ya pili inayosababisha red kwa sababu marefa wajinga kama Taylor wakiachiwa waamue peke yao wataharibu hii burudani safi ya mpira

