Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ya jana ishapita tugange yajayo tuendelee kusuka kikosi kwa ajili ya msim ujao

Wale wanaopinga usajili wa kai endeleeni kupinga ukweli ninkwmba tunamuhitaji kai

Hatuna kiungo ambae ni creative na wale ambao mnahisi lamp kwa nini asajili beki ndio kwanza ndio wikinya 1 imeisha tangu dirisha la usajili lifunguliwe na linaenda mpaka mwezi waa kumi mwanzoni

Stil tutasajili beki ikiwezekana na kipa
 
Unachozungumzia ni scene tofauti kabisa wala hujaelewa kitu.
Ok ile scene ya Pullisic akiwa anaambaa nje ya 18 halafu Ceballos akataka kwenda kuchukua mpira kisha akavutwa ili asiende unaikumbuka?
 
Mechi ya jana ishapita tugange yajayo tuendelee kusuka kikosi kwa ajili ya msim ujao

Wale wanaopinga usajili wa kai endeleeni kupinga ukweli ninkwmba tunamuhitaji kai

Hatuna kiungo ambae ni creative na wale ambao mnahisi lamp kwa nini asajili beki ndio kwanza ndio wikinya 1 imeisha tangu dirisha la usajili lifunguliwe na linaenda mpaka mwezi waa kumi mwanzoni

Stil tutasajili beki ikiwezekana na kipa
Hahaha ikiwezekana na??? Mbona mna kipa mzuri tu Kepa. Kwani hamumtaki tena? Mna kipa mcha Mungu Caballero.

Kabla ya penati ya Auba ulimuona anasali?

Nyinyi kikosi chenu kipana sana. Hamhitaji nyongeza.

Swali: Tammy kagusa mpira mara ngapi jana?

Swali: Kwa CF mlionao nani ana akili ya kuscore goli kama lile la pili la Arsenal?
 
Wakuu vipi zile Stori zetu mbili leo zipo?

1) Chelsea kila msimu lazima imalize na Kombe.
2) Giroud ana nyota ya kutembea na Makombe.

LONDON IS RED.jpg


DullyJr
 
Mechi ya jana ishapita tugange yajayo tuendelee kusuka kikosi kwa ajili ya msim ujao

Wale wanaopinga usajili wa kai endeleeni kupinga ukweli ninkwmba tunamuhitaji kai

Hatuna kiungo ambae ni creative na wale ambao mnahisi lamp kwa nini asajili beki ndio kwanza ndio wikinya 1 imeisha tangu dirisha la usajili lifunguliwe na linaenda mpaka mwezi waa kumi mwanzoni

Stil tutasajili beki ikiwezekana na kipa
Dah!
Screenshot_20200802-121128.jpeg
 
Hiyo ya Bavarian wala haiko kwenye hesabu zetu, tutaenda kukamilisha ratiba na focus yetu ni kufanya mauaji next season. Kwanza huyo Auba tukitaka tunamchukua kama tulivyomkosakosa Januari,
Huna uwezo huo,wewe size yako Giroud tu
#Coyg
 
Mnatakiwa mshukuru ile red card sio kulaumu,ilitufanya tupunguze kasi vinginevyo mngekula nyingi tu.
Nyie watoto wadogo tunawaweza kivyovyote vile
Arteta kushindana na Lampard ni ubadhirifu wa akili
Red army
 
Chelsea wakiwa UEFA wakakutana na Ajax. Wakapigiwa mpira wakazidiwa kila angle kisha zikaanza kutembea red kwa Ajax.

Hahaha na hakuna aliyekuja kusema Ajax ilionewa. Red zilikua za ajabu ajabu. Zilikua red ngapi? 2 au 4?

How time flies. Leo Kovacic kala yellow mbili eti watu wanakwambia yeye ndiyo kakanyagwa, kwani kabla ya kumkanyaga mtu ilikuaje akaenda huku amenyanyua six meno yamelenga mguu wa Xhaka?

We all know huwezi kuzuia mtu kwa kumletea zote (sina lugha nzuri hapa ila aliyecheza mpira anaelewa kwenye rafu 'zote' ni nini) kwakua ukimpata unakula straight red ukimkosa unakula yellow. Kamkosa kala yellow na mwanzo alikua na yellow pia.

Mlitaka iweje?
Mkuu heshima yako ni kubwa sana hapa usitake kujivunuia kwa vitu vya kijinga. Ile game ya Ajax kila mtu aliiona sijui unachoandika hapa unakitoa wapi?

SMH!! unaanza kureflect akili za Arse8 fans.
 
Mnatakiwa mshukuru ile red card sio kulaumu,ilitufanya tupunguze kasi vinginevyo mngekula nyingi tu.
Nyie watoto wadogo tunawaweza kivyovyote vile
Arteta kushindana na Lampard ni ubadhirifu wa akili
Red army
Furahieni walau kikombe msimu huu maana mashabiki Wa arse8 mshaanza kupata mfadhaiko msimu huu nafac ya 8 ..na bosi wenu alivyobahili mtapata wachezaji Wa mafungu...au zile biashara za kibahiri unapeleka mchezaji mmoja na pesa kidunchu ndo mpate mchezaji mnayemtaka...hongereni timu kubwa London mpk sahv mnalipa mdogomdogo ile pesa ya kipepe haaahaaaa ama kweli arse8 hakika msimu ujao ubingwa wenu
 
Nimcheka hatari eti Fransisco Zola, mwambie watu tuliiona Chelsea ya Ruud Gullit na bado tukawaona ni utopolo tu
Hivi vishabiki vya hiki kitimu cha juzi hawana tofauti na Gwambina fc, hawaijui timu yao kabisa vinadandia tu.
 
Mmesahau red card ya Jorginho Emirates refa akakausha,mkashinda 2 -1 mpaka refa aliye chezesha akapewa adhabu na kushangilia mkashangilia huku mkisema "refa ni binadamu.." Sasa jana sijui refa alikuwa tembo ndio mpira huo kaka,jipange tu kwa ajili ya kipigo kingine na Bayern.
Hawajielewagi hawa.
 
Hiyo ya Bavarian wala haiko kwenye hesabu zetu, tutaenda kukamilisha ratiba na focus yetu ni kufanya mauaji next season. Kwanza huyo Auba tukitaka tunamchukua kama tulivyomkosakosa Januari,
ukisoma haraka hapa unaweza ukahisi jamaa ni shabiki wa Barcelona au Madrid.
 
Wewe pia huna tofauti na hao mashabiki wa Arsenane. Toka aondoke Giroud wamechukua makombe mangapi na Gitoud kachukua mangapi?

Endeleeni kukaza vichwa wewe na marogo zako.

Gitoud = Giroud
Marogo = Madogo

Mkilewa msiwe mnaingia JF mnajidhalilisha tu
Ollachuga Oc unamuona mjinga kumpa mkewe amshikie simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom