Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi ya Chelsea na Arsenal Fainali FA, nadhani yafuatayo yatatokea:

1. Arsenal itachukua kombe.

2. Mojawapo au zaidi ya yafuatayo yatatokea: (a) Arsenal itapewa penati. (b) Goli la Chelsea litakataliwa.

FT Arsenal 2 Chelsea 1.

1. Arsenal imechukua kombe. ✔

2. Arsenal imepewa penati, na zaidi ya hayo... ✔

Nadharia inaendana na matokeo ✔ .
 
Hahah
1580552255673.jpg
 
Sijawahi kuona wachezaji vilaza kama wachezaji wa chelshit. Mpira walioupiga mwingi nusu fainali na sisi Man Utd, na ukiangalia leo walivyolambishwa mchanga, mpaka wanaishia kucheza rafu za kijinga. Halafu wakiguswa hao chelshit wenyewe wanajiangusha kama wapiga nyeto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1596310451228.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom