Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Asante kwa kutokwenda kuangalia mechi maana nilijua Chelsea ya leo hii ni utopolo haikaribii ya akina Makelele hata kwa 40% sema ni bahati nasibu tu ndiyomaana hata top 4 tumeiona EPL ya 2019/2020
 
Kama matokeo yatakuwa tofauti na nadharia, ina maana nadharia ni mbovu, inayofaa kuboreshwa au kutupwa. Na nadharia yoyote hupimwa kwa uwezo wake wa kutangaza matarajio kabla ya matukio.
Wamekubeza Sana.
Ni mda wako ss na ww utambe mkuu.
Me natk kujua tu nadharia zako unatoa wap.. Tuanze kuBet kwa maono yako
 
Mabingwa wa kihistoria wa FA wachukua kombe lao kwa bao zuri ambao linaweza kuwa bora kuliko yote toka FA ianze
 
Naandikaaaaaa....... Nafuta

Naandikaaaaaa........ Nafuta




Bumbav[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom