We are still not the best in epl
Ni timu mbili ambazo ni superior kwa Ligi ya Uingereza kwasasa.. Sijashangazwa na matokeo kwasababu Liverpool ni timu bora pale Epl na hakuna timu ambayo haijungwa na Liverpool msimu huu..
We still had a chance against Wolves (Tunahitaji sare tu kufuzu kwenda champions league), Nafasi yetu ipo palepale...
Gemu ya mwisho kati ya Man u Vs Leicester itakua game of death....
N:B - Man u & Leicester wanahaki ya kufurahia matokeo haya,, yanawapa bado nafasi ya UCL.
Ila ndugu zetu wa arsenal ndo nawashangaa sana,, sisi na wao ni kama mbingu na ardhi (Nilisema mapema mashabiki wa arsenal wamepoteza unazi kwa timu zao, timu yao ikifungwa haiwaumi kabisa, wameshakua sugu na vichapo. Wanavoshadadia humu ndani unaweza dhani jana wao walifingwa na big six team)