Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

We are still not the best in epl

Ni timu mbili ambazo ni superior kwa Ligi ya Uingereza kwasasa.. Sijashangazwa na matokeo kwasababu Liverpool ni timu bora pale Epl na hakuna timu ambayo haijungwa na Liverpool msimu huu..

We still had a chance against Wolves (Tunahitaji sare tu kufuzu kwenda champions league), Nafasi yetu ipo palepale...

Gemu ya mwisho kati ya Man u Vs Leicester itakua game of death....

N:B - Man u & Leicester wanahaki ya kufurahia matokeo haya,, yanawapa bado nafasi ya UCL.
Ila ndugu zetu wa arsenal ndo nawashangaa sana,, sisi na wao ni kama mbingu na ardhi (Nilisema mapema mashabiki wa arsenal wamepoteza unazi kwa timu zao, timu yao ikifungwa haiwaumi kabisa, wameshakua sugu na vichapo. Wanavoshadadia humu ndani unaweza dhani jana wao walifingwa na big six team)
 
kwa lipi? Hata wewe ripoti tu mzee,kikubwa sijafanya jinai yoyote, sijamtukana mtu.... Kama 5g ni tusi basi tutapigwa ban wengi,
Labda nikuambie jambo 1 tu kuwa mimi siogopi ban
Kupost kitu kama hicho mara nyingi wanasema ni spam ni kosa kwa sheria za jf
 
We are still not the best in epl

Ni timu mbili ambazo ni superior kwa Ligi ya Uingereza kwasasa.. Sijashangazwa na matokeo kwasababu Liverpool ni timu bora pale Epl na hakuna timu ambayo haijungwa na Liverpool msimu huu..

We still had a chance against Wolves (Tunahitaji sare tu kufuzu kwenda champions league), Nafasi yetu ipo palepale...

Gemu ya mwisho kati ya Man u Vs Leicester itakua game of death....

N:B - Man u & Leicester wanahaki ya kufurahia matokeo haya,, yanawapa bado nafasi ya UCL.
Ila ndugu zetu wa arsenal ndo nawashangaa sana,, sisi na wao ni kama mbingu na ardhi (Nilisema mapema mashabiki wa arsenal wamepoteza unazi kwa timu zao, timu yao ikifungwa haiwaumi kabisa, wameshakua sugu na vichapo. Wanavoshadadia humu ndani unaweza dhani jana wao walifingwa na big six team)
Sisi huyo Liver tumemtandika,

Kuhusu kufungwa na midtable teams au zile zilizo danger zone usijisahaulishe vichapo vya juzi tu vya tatu tatu,
Vs westham
Vs sheffield
 
Kupost kitu kama hicho mara nyingi wanasema ni spam ni kosa kwa sheria za jf
Oya mzee vipi, mbona unanikabia juu kama Partey???
Nipige hiyo ban basi, maana sikuelewi... Nilishakwambia mimi siogopi ban,
So kaa ukitulia
 
Kilichotokea jana Chelsea kufungwa ndio raha pekee iliyobaki kwa hao maswa-maswa wa Emirate
Hapa sasa ni unajifariji.

Kwa Arsenal timu yenu ya Chelsea siyo ya kuihofia na kuifurahia ikifungwa. Arsenal ipo kwenye ligi na inajulikana hata kabla ya 2003 mwaka ambao Chelsea ilizaliwa.

Mashabikia wa Chelsea wengi wametoka Arsenal, Liverpool na Man U ambaye ni fresh kaanza kufuatilia mpira akaipenda Chelsea ni watu wa 98 mpaka 2003 mwaka Chelsea inazaliwa.

Chelsea haina cha kunifanya nifurahie ikifungwa.
 
We are still not the best in epl

Ni timu mbili ambazo ni superior kwa Ligi ya Uingereza kwasasa.. Sijashangazwa na matokeo kwasababu Liverpool ni timu bora pale Epl na hakuna timu ambayo haijungwa na Liverpool msimu huu..

We still had a chance against Wolves (Tunahitaji sare tu kufuzu kwenda champions league), Nafasi yetu ipo palepale...

Gemu ya mwisho kati ya Man u Vs Leicester itakua game of death....

N:B - Man u & Leicester wanahaki ya kufurahia matokeo haya,, yanawapa bado nafasi ya UCL.
Ila ndugu zetu wa arsenal ndo nawashangaa sana,, sisi na wao ni kama mbingu na ardhi (Nilisema mapema mashabiki wa arsenal wamepoteza unazi kwa timu zao, timu yao ikifungwa haiwaumi kabisa, wameshakua sugu na vichapo. Wanavoshadadia humu ndani unaweza dhani jana wao walifingwa na big six team)
Wewe Arsenal unaingizaje kwenye kipigo chako cha mkono✋.
Yaani 5!! Mlikuwa mmekaa au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom