Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
😅 😅
Don C nakuheshimu na unajua hili.! Kwanini umeona hii nitaweka wapi sura yangu.?
Najifanya kama sikuwahi kuiona.
Pole kwa matokeo ya jana.
😅 😅
Don C nakuheshimu na unajua hili.! Kwanini umeona hii nitaweka wapi sura yangu.?
asante liverpool jana mlitunyoa nywele zote, za katikati ya mapajaChelsea Trophies:![]()
Full name: Chelsea Football Club
Nickname(s): The Blues, The Pensioners
Founded: 10 March 1905
League: Premier League
Website: ChelseaFC.com
View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m
View attachment 450991
Owner: Roman Abramovich
View attachment 450993
Chairman: Bruce Buck
View attachment 1148045
Head Coach: Frank Lampard
League Tittles: 6
Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)
European Trophies: 6
UEFA Champions League: 1 (2011/12)
UEFA Europa League: 2 (2012/13, 2018/19)
UEFA Super Cup: 1 (1998)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 19970/71)
FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)
League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)
Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)
Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)
View attachment 794454
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned The Emirate FA Cup Winners(2018)
View attachment 1111925
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned Europa League Champions (2018/19)
View attachment 1126248
Chelsea FC Premier League Fixture for 2019/20
Follow this thread for team updates!
Loooh hizi kashfa sasa. Yaan kwambaMuulize yeye anaweza funga hata hizo 3.?? Au ndiyo kamoja chali.?



tunavumilia maumivu tu Don,Najifanya kama sikuwahi kuiona.
Pole kwa matokeo ya jana.
Kweli kabisa, hawezi panda mahindi ategemee kuvuna mihogo"U-ta-vu-na u-li-cho-pa-ndaa daah daah! "


huo utakuwa ni uchizitunavumilia maumivu tu Don,
We're talking about current issuesNini alikufanya hapo anfield?




Hawa wakija kule kuita watu matakataka, vichwa maji, nguruwe pori inakuwa haina shida na wala hakuna anayeita mods...Mwacheni jamani, kwa raha zake!!!!



Duhasante liverpool jana mlitunyoa nywele zote, za katikati ya mapaja
Tuvumiliane.
Kwanza kati ya wapumbavu ambao tuna wavumilia wewe ni mmoja wapo.
Huwa unakera kinoma.







CEO wa JF ni die hard fan wa Chel3Mwacheni jamani, kwa raha zake!!!!
Uko sahihi, kwa sheria za mitandao, posting ya namna hiyo ni spam na adhabu yake easy and straight forward ni kufungiwa kwa muda akirudia tena kufungiwa kabisaKupost kitu kama hicho mara nyingi wanasema ni spam ni kosa kwa sheria za jf
USA inahangaikia minara ya 5G hadi wanagombana na China. Liva badala wakachomeke minara USA walipwe mahela wameenda kuchomeka Darajani.
Now kila mtu analikimbia daraja



babakeMimi niliangalia yote, Chelsea ilicheza vizuri sana, hata ukifuatilia commentators wa mechi wanakiri jinsi timu mbili zenye kucheza kandanda safi EPL walivyoonyesha burudani nzuri. Mimi nilikuwa nafuatilia Suppersport3. Tofauti yetu ndogo sana na Liverpool ni kwenye defense na Kipa.POLENI SANA WANA BLUES.
Sikubahatika kuangalia hii mechi, pia nilijua hatutashinda Anflied, pale pagumu kushinda, zaidi ya misimu 2 hakuna timu pinzani imepata ushindi Anflied.
Baada ya sisi kutumia nguvu kubwa kushinda mechi na manyumbu nalitegemea wachezaji wetu jana hawatakuwa kwenye kiwango bora/uchovu. Niliombea angalau tupate draw.
Kwa sasa tufocus kwenye kushinda mechi ya mwisho na wolves nyumbani tumalize TOP 4.
Uko sahihi, kwa sheria za mitandao, posting ya namna hiyo ni spam na adhabu yake easy and straight forward ni kufungiwa kwa muda akirudia tena kufungiwa kabisa


Acha kupiga mayowe, huu mchezo hauhitaji hasira