Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Majirani poleni kwa kupoteza mechi kwa magoli mengi lkn cha kuwasifu ni kwmaba mmeonesha fighting spirit mpk dkk ya mwisho..ni ki2 kizuri..

Mimi ni shabiki wa UTD na nilipenda mfungwe ila nimekubali jinsi mlivyopambana..

Pili kufungwa inauma sana..naona baadhi majamaa mmeumia kweli baada ya kudhihakiwa na shabiki wa arsena..] lkn kuna baadhi yenu huwa wanakesha(mf huyo jamaa mwenye avartar ya dakar larrly) kwenye jukwaa letu la MAN UTD wanatudhihaki..
Dhihaka zinauma sn..basi tu

Kimsingi Chelsea endeleeni kupambana bado chance ya top 4 mnayo.

GGMU GGMU GGMU
 
DullyJrukiripotiwa unachukua ban yako mapema tu.
kwa lipi? Hata wewe ripoti tu mzee,kikubwa sijafanya jinai yoyote, sijamtukana mtu.... Kama 5g ni tusi basi tutapigwa ban wengi,
Labda nikuambie jambo 1 tu kuwa mimi siogopi ban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom