Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20200720-202821.jpg
 
Nadhani kepa kaamua kuwa de gea kabisa goli mbili kwa makusudi kaamua kufungwa hii mechi ilistahili draw ama liverpool alie kama tungekuwa na kipa mzuri kama oblak ama onana
 
Yaani chelsea waliona magoli mawili waliyopewa na Degea +Maguire wakafikiri na leo itakuwa kwa liverpool😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Utadhani siye aliyempigia Man City anavyomsulubu. Hua nikisema Kepa na De Gea ni wabovu shots za mbali Ollachuga Oc uwe unaelewa
Hakuna mtu anakubishia, Kepa is the wordiest GK in EPL this season
Magoli takriban matatu angeweza kuyazuia kwa mwili yeye anabaki kuyazuia kwa macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom