Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona kwenye official page Chelsea IG & FB, wanamlaumu sana KEPPA , itakuwa katoa maboko ya kudead person. Nikitulia nitaangalia highlights. Baada ya Mechi kuisha Lampard angempiga Keppa risasi ya kichwa.
Jana Kepa alikuwa kama vile kabeti maana magoli mengine hata jitihada za kudaka alikuwa hafanyi. kuna hata nafasi zingine Liverpool walikuwa wazembe zingeingia tungekuwa tumefungwa hata 7
Kepa ni pazia lenye matobo
 
Hizi sajili hazikwepeki hata wakitua Messi na Ronaldo Chelsea.

1. Kipa

2. Beki wa kati mmoja kisiki CB (zouma, Tomori, Christensen wabaki kama sub)

3. Beki wa kushoto LB (Alonso abaki sub)
Sijui makocha wanaona ni ni kwa Alonso kuwa beki, hafai kabisa. Kuna siku nilishauri kwa nini asifanywe winga tu kwa sababu Alonso kwenye attack ni mzuri ila kwenye kukaba ni uchochoro
 
Mimi niliangalia yote, Chelsea ilicheza vizuri sana, hata ukifuatilia commentators wa mechi wanakiri jinsi timu mbili zenye kucheza kandanda safi EPL walivyoonyesha burudani nzuri. Mimi nilikuwa nafuatilia Suppersport3. Tofauti yetu ndogo sana na Liverpool ni kwenye defense na Kipa.
Defense walicheza vizuri ila wanajisahaau kwenye open space kwenye final third ya kwetu na Liverpool forward ni wajanja sana walizitumia hizo weaknesses. Pia kuna makosa ya wazi kidogo zilziofanywa na akina Willian nafikiri kwenye goli la kwanza ambayo Nabi Keita aliitum ia kufunga goli. Pia viungo wetu walichoka kipindi cha pili ambapo possesion ilidrop kutoka 62% kipindi cha kwanza hadi 48% before sub ya Odoi, Pulisic na Tammy Abraham ilikuja kufufua umiliki wa mpira hadi ikiafika 50% na kuwafanya Chelsea tena kupeleka mashambulizi ya nguvu mbele iliyozaa magoli mawili ya haraka na kufanya mabao kuwa 4-3 kisha tukajisahau tena na ndipo Chamberlain akaongeza la tano.
Fuatilia comment za pundits na hao watangazaji utaona impression yao kuhusu hiyo burudani ya jana ambayo ilitofautishwa na magoli tu! Huu ndio ukweli. Kwa standard ya mpira wa jana tukikutana na hao maiti wa emirate watakula 7 au 10 kwa mabao machache ya kufuta machozi
Hahahahaha yaani wewe jamaa unazingua sana, yaani soka tulione jana mubashara alafu unataka mtu asikilize commentators Wallahy huku ni kuchanganyikiwa,
Kuna wakati zile za buluu zilikuwa kama koni yule mwamba Keita alivyokichafua pale kati,
Usimdanganye mwenzio, goli 5 ni nyingi sana, CH3L5EA mlipigwa kwa uwezo na mlikoswa magoli mengi sana kama Filmino angetulia na Salah angeacha mapepe yake mngekula 9

Hata magoli yenu mlipata kutokana na udhaifu wa Trent katika kudefend, ilitakiwa mfe 9 bila.
 
Jana Kepa alikuwa kama vile kabeti maana magoli mengine hata jitihada za kudaka alikuwa hafanyi. kuna hata nafasi zingine Liverpool walikuwa wazembe zingeingia tungekuwa tumefungwa hata 7
Kepa ni pazia lenye matobo
Nakuunga mkono kwa asilimia zote mkuu.
1595495555289.jpg
 
Hahahahaha yaani wewe jamaa unazingua sana, yaani soka tulione jana mubashara alafu unataka mtu asikilize commentators Wallahy huku ni kuchanganyikiwa,
Kuna wakati zile za buluu zilikuwa kama koni yule mwamba Keita alivyokichafua pale kati,
Usimdanganye mwenzio, goli 5 ni nyingi sana, CH3L5EA mlipigwa kwa uwezo na mlikoswa magoli mengi sana kama Filmino angetulia na Salah angeacha mapepe yake mngekula 9

Hata magoli yenu mlipata kutokana na udhaifu wa Trent katika kudefend, ilitakiwa mfe 9 bila.
sawa mimi na wewe tuliangalia tofauti, wewe si unatumiaga steaming media za texts
 
Na wewe unajua Current Issues, wacha unazi. juzi tu ulikuwa ukitujazia historia ya Arsenmal hata kabla babu zako hawajazaliwa
Sasa mkuu yaani game imepigwa jana tu, msiba bado mbichi kabisa unataka kuturusha tuone kama hakijatokea kitu,

Ok badae
 
Naon kama huu ndio msim wa mwisho kw kepa amefail kuprove, sawa defenc yetu inashida ila kipa na yeye anashida zaidi kuna magoal tunafungwa kipa hata hajitutumui kufanya save

Magoal anayofungwa kepa ni yale yale ya kila siku anavyofungwa yani mtu akiwa mbali tu akishoot anajua kabisa anafunga

Kwa hali ile hata tukiwa na beki nzuri kama kipa na yeye anaendelea kufanya mistake stil tutakuwa itakuwa bado hatujawa tayari kushindania ubingwa
 
Naon kama huu ndio msim wa mwisho kw kepa amefail kuprove, sawa defenc yetu inashida ila kipa na yeye anashida zaidi kuna magoal tunafungwa kipa hata hajitutumui kufanya save

Magoal anayofungwa kepa ni yale yale ya kila siku anavyofungwa yani mtu akiwa mbali tu akishoot anajua kabisa anafunga

Kwa hali ile hata tukiwa na beki nzuri kama kipa na yeye anaendelea kufanya mistake stil tutakuwa itakuwa bado hatujawa tayari kushindania ubingwa
magoli yale hata manula hafungwi

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikiingia humu nakumbuka kipigo cha jana, aisee siku ya jana ilikuwa mbaya sana kwangu. Yaani nilijisikia vibaya mno ukiongeza na ujinga wa yule takataka DullyJr ndio akazidi kuniumiza zaidi.

Ila yote kwa yote jana tumecheza mpira safi kabisa


Mkono
5g
"moderator tutolee huyu mtu" in Papaa Gx voice

1595495032534.jpg
 
Poleni mashabiki wenzangu wa blues kwa kupoteza mchezo muhimu hapo jana. Bado naamini timu yangu pendwa itakuolifai kucheza UEFA Champion League.

Tujipe moyo na tuwe na imani na timu yetu. Pia tuwe na imani na kocha wetu. Viungo walitukwamisha pamoja na Kepa mwenyewe. But lets hope makubwa zaidi next season
 
We takataka subiri dawa yako iko jikoni inapogoma, uliona ule moto wa Pulisic.?

Tarehe 1 nitakufanya kitu mbaya huto amini paka shumi ww.

London is blue
Pride of London.
Amber as Amber on his best
 
We takataka subiri dawa yako iko jikoni inapogoma, uliona ule moto wa Pulisic.?

Tarehe 1 nitakufanya kitu mbaya huto amini paka shumi ww.

London is blue
Pride of London.
Takataka za 5g
Prisca siku hiyo anawekwa mfukoni na Hector
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom