Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool anapewa 38% ya kushinda, wakati sisi tunapewa 33% ya kushinda ..draw ni 29% adi sasa, bado watu wanapiga kura ..

Hii game inaweza kuwa tough sana.

Kila la kheri Chelsea

#CFC
 
Habari ya mjini ndio hii
1595406480658.png
 
Katika combined starting 11 ya leo Chelsea imewatoa wachezaji watatu tu

Combined starting 11 Liverpool + Chelsea

  1. GK Alisson
  2. RB TAA
  3. CB1 Azpi
  4. CB2 VVD
  5. LB Robertson
  6. CM1 Kovacic
  7. CM2 Fabinho
  8. CAM Pulisic
  9. RW MO Salah
  10. Striker Firmino
  11. LW Sadio Mane
Another match ambayo tunaingia kucheza tukiwa underdogs
Firmino anawekwa zaidi ya Giroud ambaye tangu turudi likizo ya Corona ana magoli 5 tayari wakati Firmino sijui goli lake la mwisho alifunga lini?
 
Katika combined starting 11 ya leo Chelsea imewatoa wachezaji watatu tu

Combined starting 11 Liverpool + Chelsea

  1. GK Alisson
  2. RB TAA
  3. CB1 Azpi
  4. CB2 VVD
  5. LB Robertson
  6. CM1 Kovacic
  7. CM2 Fabinho
  8. CAM Pulisic
  9. RW MO Salah
  10. Striker Firmino
  11. LW Sadio Mane
Another match ambayo tunaingia kucheza tukiwa underdogs
Firmino anawekwa zaidi ya Giroud ambaye tangu turudi likizo ya Corona ana magoli 5 tayari wakati Firmino sijui goli lake la mwisho alifunga lini?
Huo Ni mtazamo wake binafsi sio sheria
 
Sababu kubwa ya Arsenal kushindwa kufuzu Europa League!!
  1. Hawana squad ya kuwawezesha kufanya hivyo
  2. Mashabiki wao hawako na timu yao, mfano wengi wao humu jamii forums wamejinafsisha kwa Chelsea wengine Liverpool
  3. Management haina dira yeyote, wakati wa Wenga angalau walikuwa wanatoa chipukizi na kuwauza ili washike mshiko, sasa hivi hawana tena chipukizi wala hawajui hata kusajili
Ndio maana tunasema Auba na Lacazette wanajuta sana kukubali kusajiliwa Arsenal
Tutegemee AUB lazima atalazimisha kuondoka Lacazette yeye naona karidhika
Tutegemee pia wachezaji wazuri hawatakubali kusajiliwa kwenye mid-table team kama Arsenal
Mabadiliko ya Top 6 EPL clubs

  1. Liverpool
  2. Man City
  3. Chelsea
  4. Man United
  5. Tottenham Hotspurs
  6. Leicester City au Wolves (hii tutaconfirma ndani ya misimu mitatu ijayo wakiendelea kuhikilia hizo nafasi)
Arsenal kurudi kwenye top 6 itawachukua miaka 6-10 ali mradi tu wana mikakati ya kuwarudisha huko, wakiendelea kuwa kama walivyo sasa, FORGET ABOUT TOP 6
Punguza unazi, utakuja kuumbuka
 
UCL plus Europa EPL teams for 2020/21 season confirmed
  1. Liverpool - 93pts - UCL confirmed
  2. Man city 78 pts - UCL confirmed
  3. Chelsea - 63 pts - UCL/Europa confirmed
  4. LFC - 62pts - UCL/Europa confirmed
  5. Man United 62pts - UCL/Europa confirmed
  6. Wolves - 59pts - Europa confirmed
  7. Tottenham - 58pts - Hot Spurs - Europa confirmed
  8. Sheffield United - 54pts - OUT
  9. Burnley - 54pts - OUT
  10. Arsenal - 53pts - OUT
Vipi umepewa kitengo hapo UEFA utupasishie na siye tugawane umaskini?
 
Kama wewe ulivyoumbuka jana
Game haina umuhimu ile, sisi wazee wa Big games, utopolo km ule hatujichoshi
Acha watoto waenjoy EPL wamekuja juzi tu
Tunamshusha daraja Watford thn tunaenda kuchukua Kombe letu dunia nzima inajua hilo.

#Arsenal London
 
Breaking news ; arsenal are in close to sign Samata as aubameyang replacement 🙁Espn)
 
Mnapata wapi nguvu y kubishana na wavuta bangi, kweli mnabishanaje na shabiki wa Arsenal?! mwisho wa siku na nyie mtaonekana wavuta bangi. Mnaacha kubishana na big4 wenzenu mnabishana na midtable!!!

Mnabishana na timu ambayo ni mchezaji mmoja tu ndio anapata namba 1st eleven pale chelsea, Auba peke yake ndio mchezaji pale arsenal.
Bange haikupendi ENZO ungejaribu hata majani ya mpapai kama ni lazima uvute
Kufananisha Gunnerz na Blauz ni ukosefu wa heshima
 
Kwa wale wanaobet, ODDS za Arsenal kushinda FA ni ndogo kuliko za Chelsea kushinda
Makampuni mengi ya kubeti wanatoa hii average ODDS
Arsenal kushinda ni 3.40 maana yake unapokea mpunga mkubwa kwa sababu Arsenal kushinda ni miujiza
Arsenal na Chelsea kudroo ODDS ni 3.50 bado watakaobeti kwenye hii watapokea mpunga mkubwa kwa sababu nayo droo ni miujiza ya msimu
Chelsea kushinda ODDS ni 2.26, mpunga ni mdogo kwa sababu inajulikana kuwa Chelsea atashinda. Period
Arsenal walipoteza nafasi yao ya kushiriki mashindano yao ya Europa kwenye mechi na Aston Villa jana
1595385496557.png



1595385885027.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom