OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Liverpool anapewa 38% ya kushinda, wakati sisi tunapewa 33% ya kushinda ..draw ni 29% adi sasa, bado watu wanapiga kura ..
Hii game inaweza kuwa tough sana.
Kila la kheri Chelsea
#CFC


Hii game inaweza kuwa tough sana.
Kila la kheri Chelsea
#CFC






