DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Underdog kama underdogKatika combined starting 11 ya leo Chelsea imewatoa wachezaji watatu tu
Combined starting 11 Liverpool + Chelsea
Another match ambayo tunaingia kucheza tukiwa underdogs
- GK Alisson
- RB TAA
- CB1 Azpi
- CB2 VVD
- LB Robertson
- CM1 Kovacic
- CM2 Fabinho
- CAM Pulisic
- RW MO Salah
- Striker Firmino
- LW Sadio Mane
Firmino anawekwa zaidi ya Giroud ambaye tangu turudi likizo ya Corona ana magoli 5 tayari wakati Firmino sijui goli lake la mwisho alifunga lini?








