Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika combined starting 11 ya leo Chelsea imewatoa wachezaji watatu tu

Combined starting 11 Liverpool + Chelsea

  1. GK Alisson
  2. RB TAA
  3. CB1 Azpi
  4. CB2 VVD
  5. LB Robertson
  6. CM1 Kovacic
  7. CM2 Fabinho
  8. CAM Pulisic
  9. RW MO Salah
  10. Striker Firmino
  11. LW Sadio Mane
Another match ambayo tunaingia kucheza tukiwa underdogs
Firmino anawekwa zaidi ya Giroud ambaye tangu turudi likizo ya Corona ana magoli 5 tayari wakati Firmino sijui goli lake la mwisho alifunga lini?
Underdog kama underdog
 
Mashabiki wa arsenal ni kama wapo wapo tu sasa ivi,, hata yale mapenzi yao kwa timu yao yamebaki kidogo sana (Ndo maana hata wakifungwa saivi huwezi ona wakihuzunika), hawana imani na timu yao tena, na nadhani ikienda hivi kwa miaka mitano ijayo basi arsenal itapoteza wanazi wengi sana
 
Chelsea kwa leo mechi ni ngumu sana,,

Kwanza tunacheza na timu ambayo ni bora kwa msimu huu

Pili tunacheza na timu bora ikiwa ndani ya uwanja wao wa nyumbani ( Japo kwasasa tunapata imani kidogo kwasababu hakuna mashabiki uwanjani kwa sasa)

Tatu, tunacheza na liverpool iliyo"relaxed sana,, hawatafuti chochote kwa sasa na wanaweza kutuumiza kama tutashambulia sana (hawa jamaa ni wazuri kwa counter attacks).

Nne, mechi ya leo itakua ngumu mno kwetu kwa sababu ni mechi liverpool watakayokabidhiwa kombe lao..

All and all,, we are among the good team in the division.. Ability, commitment pamoja na kujiamini kutatufanya tutoke na matokeo chanya kwenye mechi ya leo
 
Mashabiki wa arsenal ni kama wapo wapo tu sasa ivi,, hata yale mapenzi yao kwa timu yao yamebaki kidogo sana (Ndo maana hata wakifungwa saivi huwezi ona wakihuzunika), hawana imani na timu yao tena, na nadhani ikienda hivi kwa miaka mitano ijayo basi arsenal itapoteza wanazi wengi sana
Na ni wakorofi kama waadhirika
 
Mashabiki wa arsenal ni kama wapo wapo tu sasa ivi,, hata yale mapenzi yao kwa timu yao yamebaki kidogo sana (Ndo maana hata wakifungwa saivi huwezi ona wakihuzunika), hawana imani na timu yao tena, na nadhani ikienda hivi kwa miaka mitano ijayo basi arsenal itapoteza wanazi wengi sana
Katika mashabiki wenye mioyo migumu aisee na wao wapo
 
Game haina umuhimu ile, sisi wazee wa Big games, utopolo km ule hatujichoshi
Acha watoto waenjoy EPL wamekuja juzi tu
Tunamshusha daraja Watford thn tunaenda kuchukua Kombe letu dunia nzima inajua hilo.

#Arsenal London
Inauma lakini lazima ujikaze kisabuni.
Screenshot_20200722-004018_1595367733473.jpg
 
Lineup hiyo. Pulisic nje pengine bado ana majerahaView attachment 1514147
Ni tactical change sio kwamba ana majeraha, unajua kwanini mount amepangwa badala ya pulisic kwa sababu zifuatazo
1.Anajua kupress high compare na Pulisic
2.kuongeza number kwenye midfielder kwa sababu mount ana uwezo wa kucheza Kama Winga na hapo hapo aka act as midfielder
3.Anakaba hii Ni moja ya kigezo ambacho lampard kuzingatia kutokana na aina ya opponent(Liverpool)
4. Anajua kutengeneza space kupitia movement zake akiwa Hana mpira.
 
Ni tactical change sio kwamba ana majeraha, unajua kwanini mount amepangwa badala ya pulisic kwa sababu zifuatazo
1.Anajua kupress high compare na Pulisic
2.kuongeza number kwenye midfielder kwa sababu mount ana uwezo wa kucheza Kama Winga na hapo hapo aka act as midfielder
3.Anakaba hii Ni moja ya kigezo ambacho lampard kuzingatia kutokana na aina ya opponent(Liverpool)
4. Anajua kutengeneza space kupitia movement zake akiwa Hana mpira.
Hapo point ni #2 tu anajaribu kuongeza midfield iweze kusave umiliki wa mpira.
 
Mashabiki wa arsenal ni kama wapo wapo tu sasa ivi,, hata yale mapenzi yao kwa timu yao yamebaki kidogo sana (Ndo maana hata wakifungwa saivi huwezi ona wakihuzunika), hawana imani na timu yao tena, na nadhani ikienda hivi kwa miaka mitano ijayo basi arsenal itapoteza wanazi wengi sana
Wewe wasema,
Mimi ni mkazi wa London na siwezi shabikia timu ndogo lazima nishabikie timu kubwa kama Gunners
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom