Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,189
Nyie wenyewe ndio huwa mnasema huo mwaka ndio tuliozaliwa sasa na sisi tunaanza kuhesabia umo umo bado mnalia lia.Wanajimegea vipindi eti wanasema tuanze kihesabj kuanzia mwaka 2000hawa ni vichaa!!! Ina maana kuanzia 1999 kurudi nyuma cheltako haijakuwepo duniani? Kama ni hivyo timu yao imeanzishwa 2000 sasa kwanini wakomae kuutaka ukubwa na hata barehe ya kwanza bado, yaani bado vigoli
Ndio maana nasema hili ni jukwaa la vitoto![]()



Lol 



