juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Dakika 5 za nyongeza jorginho hakuwepo ?Acha kutetea upuuzi, game la leo limekua gumu sababu ya ubaguzi wake. Jog hakutakiwa kuanzia benchi! Mambo gani haya naangalia gemu nimebana mapu. mbu mpk sahiz pu. mbu zote zinauma.
Ile penalt y pili aliona noma tu kumkatalia drogba, ila lengo lake ilikua rooney ndio achukue kiatu.
Mechi ngapi tumecheza na jorginho na bado tukashambuliwa sana,
Kushambuliwa ni part ya mchezo endapo matokeo yanapokuwa 1-0,2-1 nk ambapo tim pinzan inakuwa inatafuta goal la kusawazisha hicho nikitu cha kawaida ni jinsi tu tim itakavyodefend or itakavyoweza kuuwa mchezo kwa kutafuta goal,


mbele.
vishabiki vya chelsea vingi ni vitoto visivyokuwa na uvumilivu na vinafki, yaani sawa na mwanamke anayeishi na mwanaume kutokana na pesa na pindi mwanaume anapochalala vinatafuta dume lingine,

