Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kama ni hivyo mngekua mabingwa au second runner; shida mkishinda mechi tano mfululizo kelele zinaongezeka then mkidrop point kelele zinaongezeka tena.

Man Utd fans are like chicken left by feck mother ducks.
Pale Chelsea sijaona mchezaji wa kucheza ktk first Eleven ya yetu zaidi ya pulisic tu anaweza kuwa back up ya Ford
si
 
Sababu ya kwanza, Matic na Fabregas hawapo tena Chelsea
Sababu ya pili, Kante kachezeshwa out of position kwa muda mrefu. Laiti tangu mwanzo kocha angemchezesha Kante kwenye nafasi yake, angeshapata muunganiko unaousema
Sababu ya tatu, Kante kawa majeruhi kwa muda mrefu na hivyo hiyo nafasi asingeweza mwingine, Jo anajaribu lakini anachoka mapema na akichoka ni rafu mbele kwa mbele
Sababu ya nne, Kovacic anayomadhaifu makubwa ya kutokuwa mchezeshaji na mtoaji wa assists, anaweza kumiliki mpira lakini mpira ukimtoka unakuwa too ordinary hauna madhara kwa oponents
Sababu ya tano, RLC kuwa majeruhi mwaka mzima ulizima kasi yake aliyokwisha onyesha wakati wa Sarri, angeendelea na moto ule RLC sasa hivi angekuwa ni kiungo tegemewa, karudi ni kama anaanza upya kuuzoez mpira
Kwa mfano jana kukosekana kwa Kante tu Defense inaonekana ina matobo wakati DM akiwemo mzuri defense nayo inaonekana iko effective
Well say bro.
 
Tetesi zote za usajili ni huyu Fabrizio Romano ndio mpak Sky Sports wanamtegemea. Yan yeye mara nyingi ndio chanzo cha tetesi nyingi na taarifa zake huwa ni uhakika 90%
Screenshot_20200709-092653.jpg
 
Tuko kwenye hatua za mwisho kabisa kwenye usajili wa Kai Havertz, tushamalizana na wakala wake pia Havertz anapenda zaidi kuungana na Rudiger pamoja na Werner. Suala lililo baki ni makubaliano ya Bayer na Chelsea.
Bado kidogo tu Chelsea itageuka kuwa ya wajerumani na wale wanaowachukia Waingereza watapumua
 
Fabrizio Romano ni mtu mbaya sana huwa najiuliza sana. Ama yuko karibu sana na wakala wa wachezaji ama wanafanya kazi kwa pamoja.
Huyu jamaa ana connections zake za ndani sana ambazo medianyingine za michezo wanazikosa. Ila alifeli tu kwa Ziyech hakuwa na taarifa kabisa kaja kushtuka dili lishamalizwa.
 
According to reports in Germany,Chelsea are eyeing up a 40million pound bid for Manchester United star Phil Jones.It is understood that Phil Jones is willing to part ways with the club after 9 years and with Lampard being a big fan of Jones,the deal looks likely to happen.[SportGermany]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20200709-WA0023.jpg
 
No player has scored more Premier League goals from outside the box than Mason Greenwood this season (4) #mufc [sky]
 
Remember when Bayern contacted Hudson-Odoi and his family without the permission of the club last season, Chelsea really responded by buying all of their German transfer targets lmao

— Hałe (@CFCHale) July 9, 2020
 
Lampard anarekebisha madhaifu ya Kepa kwenye mashuti ya Greenwood
1594344800553.png
 
Kuna kila dalili msimu mpya unaweza anza tar 12 Sept 2020, mwezi mmoja kabla dirisha la usajili kufungwa
 
Kiujumla vita vya kuwania nafasi ya 3 na 4 ni kati ya
  1. Chelsea
  2. Leicester city
  3. Man United
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom