DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Nakuelewa sana mkuuNi kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wa chelsea ya Morinyo. Chelsea iliyoanza na ushindi wa makombe.
Mashabiki hawa wanaamini Chelsea ni club ya kubeba makombe kila msimu.
Roman Abromovich mwenyewe aliwekeza Chelsea na kuanza kubeba makombe na hategemei kuona ukame wa makombe.
Ndio maana anatimua makocha mara kwa mara bila kujali hasara, anamelewa makombe, mashabiki tumelewa makombe, tunajitaji mvinyo wa makombe tuendelee kuongea lugha moja.
Chelsea haiwezi kukaa miaka 10 bila kombe la EPL never labda Abromovich ang'ate godoro.

, sasa jiulize kama kuna shabiki wa chelsea ambaye alianza kufuatilia soka kabla ya Mou era alikuwa anashabikia timu gani? Ndio hawa ambao leo wanasumbua na kuita wachezaji matakataka na wengi wana multiple id's kila jukwaa wapo tena makauzu balaa



kuna watu walihamia mpaka Leicester wa humuhumu kwenu

