Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli mashabiki wengi wa Chelsea ni wa chelsea ya Morinyo. Chelsea iliyoanza na ushindi wa makombe.

Mashabiki hawa wanaamini Chelsea ni club ya kubeba makombe kila msimu.

Roman Abromovich mwenyewe aliwekeza Chelsea na kuanza kubeba makombe na hategemei kuona ukame wa makombe.

Ndio maana anatimua makocha mara kwa mara bila kujali hasara, anamelewa makombe, mashabiki tumelewa makombe, tunajitaji mvinyo wa makombe tuendelee kuongea lugha moja.

Chelsea haiwezi kukaa miaka 10 bila kombe la EPL never labda Abromovich ang'ate godoro.
Nakuelewa sana mkuu, sasa jiulize kama kuna shabiki wa chelsea ambaye alianza kufuatilia soka kabla ya Mou era alikuwa anashabikia timu gani? Ndio hawa ambao leo wanasumbua na kuita wachezaji matakataka na wengi wana multiple id's kila jukwaa wapo tena makauzu balaa kuna watu walihamia mpaka Leicester wa humuhumu kwenu
 
Nakuelewa sana mkuu, sasa jiulize kama kuna shabiki wa chelsea ambaye alianza kufuatilia soka kabla ya Mou era alikuwa anashabikia timu gani? Ndio hawa ambao leo wanasumbua na kuita wachezaji matakataka na wengi wana multiple id's kila jukwaa wapo tena makauzu balaa kuna watu walihamia mpaka Leicester wa humuhumu kwenu
yani wao timu ikifungwa wataponda sana
Kuna mda before corona timu ilkuw inashinda watu kusifia sana but wachezaji haohao Leo mtu anakwambia takataka
Ao ndo plastic fans
 
Bro jisemee wewe kutokana umri wako au upeo wako! Ila wengine tumeanza kushabikia Chelsea kitambo na tuna sababu zetu na hatujawah ongea Kama hvi... Me nmeanza na Chelsea ya Ranieri 2002/2003 ndo najielewa naanza kuipenda Chelsea Ila 2004 ndo nkazidi ipenda Mourinho anakuja pamoja na drogba so ukisema b4 Mourinho hamna alikuwa shabiki unakosea ko jisemee mwenywe
Hilo limefika sehemu yake, lazima likuume huo ni ukweli mchungu ambao wastaarabu wanaukubali.
 
yani wao timu ikifungwa wataponda sana
Kuna mda before corona timu ilkuw inashinda watu kusifia sana but wachezaji haohao Leo mtu anakwambia takataka
Ao ndo plastic fans
Sure mkuu, wengi wana id's zaidi ya moja kule liverpool wapo wanasherehekea ubingwa huku wapo kuita wachezaji takataka yaani wanaswitch tuhawana vifua
 
Yani Tammy anawadindishia wazee!
Screenshot_20200708-093130.jpg
 
Sito shangaa maana ni kawaida yake. Ata huyu muoka mikate kaanza kucheza baada ya kufunga goli game ya FA dhidi ya Leicester. Lampard akiendelea hiv tutamtimua

Jamaa utafikiri upo kwenye board ya Chelsea, wasipotaka wenye timu yao wewe utapiga kelele tu huku middle income country.
 
Ila wazee huwa tunatumia muda mrefu kujadili wachezaji lakini tunapuuzia kumjadili Lampard:-

mbinu zake
formation zake
ubunifu
sub zake
maono yake na
urafiki na wachezaji nje ya uwanja.

Kwa muda tuliokuwa na Lampard mpaka sasa tunaiona wapi timu yetu misimu miwili mitatu ijayo?

Najua mtasema ni mapema kumjadili Lampard lakini mkae mkijua lazima pia tumfahamu kocha wetu ndani ya Chelsea.
kila Koch ana mpunguf yak lampard ni mgumu kusoma opponents wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom