juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Issue za penalt huwa zinategemea na matokeo ya mda huo mbona penalt ya 2 iliyopatikana alipiga drogbaTuache unafiki, nyie si ndio kila siku mnasema Jor kama hawezi kucheza pembeni auzwe!!! Kuhusu benchi nadhani hii kila siku nasema humu Lampard ana Uingereza mno na ndicho kitakacho muharibia. Kumbuka ile penalti alimzingua Drogba akaenda kupiga yy wakati Drogba alikuwa kwenye bio za kuwania kiatu cha dhahabu. Alifanya hivyo sababu ya Uingereza ili rooney achukue kile kiatu lakin bahati nzuri haikuwa hivyo.
Angekuwa na uingereza kila mech tungekuwa tunaona first eleven yetu imejaa waingereza
Jinsi arteta anavyomsugulisha bench ozil na kuwapanga wale wakina willock angekuwa lampard mngesema anauingereza