Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ubaguzi upi? Mbona hali imekuwa ngumu baada ya Joginho kuingia?
Alafu ubaguzi wake uko wapi?

Kepa
Christensen
Zouma
Azpillicueta
James Reece( Mwingereza)
Gilmour (Mwingereza)
Mount (Mwingereza)
Barkley ( Mwingereza)
Pulisic
Willian
Giroud

Waingereza wanne kuanza kwenye ligi ya Uingereza ndo ubaguzi?

Badala ya Mount ulitaka aanzishwe nani?
Badala ya Barkley nani alipaswa kuanza?
Badala ya Girmour ulitaka acheze nani?

Angalia performance yao mechi hizi 3 alafu useme ni nani amedisappoint katika mechi hizo?
Mechi iliyopita Mount man of the match, Barkley kafunga mechi iliyopita, Kante ameumia, Kovacic ameumia; nani areplace hao waingereza?
Gilmour sio Mwingereza
 
Hiv mnaongea nn nyie watu.!!! Inamaana mmesahau dakika 10 kabla ya mchezo kuisha tulivyo shambuliwa na huyo Jo alikuwepo, acheni ushabiki maandazi
Ndg, muhimu pointi 3 makosa tutarekebisha mechi zijazo
 
Kwa upumbavu huu waliocheza leo Chelsea tunapaswa tusajili beki zote pale nyuma kasoro upande wa Azp, kiungo mkabaji huyu ni lazima. Chelsea tukipoteza mpira tuna hangaika sana kuupata hapa Savic asajiliwe
mkabaji bora kante yupo beki ni muhimu kuliko DM Chelsea needs New cb and lb
 
Tuseme ukweli lile goli la Tammy katafuniwa na RLC
Willian kamosa goli la wazi mazingira yale yale Tammy kakosa tungekuwa 5-2
Tulia wewe huna team kikundi cha kwaya kile
 
Kwanfu mimi naona gilmour ni mchezaji mzuri ila sio mchezaji wa kumtegemea kuwa kiungo mkabaji, kwangu hawezi kukaba wala hana mbio then bado mdogo kumpa majukumu makubwa..

Gilmour inabidi awe anacheza mechi rahis au kutokea sub au zile za FA au carling cup...
 
Mashabiki wengi wa Chelsea sio wavumliv na wanafiki weng sana , kila timu inapitia kipind cha mpito Ila kuna mashabiki hawaon ,
Timu kubwa Kama Barcelona Madrid nazo zina suffer viwango vya wachezaji vibovu but still wanvumilia
Ukiwa shabiki ushindi t timu ikifungwa unkuw mpinzan bas utkuw unaumia kila siku
 
Mashabiki wengi wa Chelsea sio wavumliv na wanafiki weng sana , kila timu inapitia kipind cha mpito Ila kuna mashabiki hawaon ,
Timu kubwa Kama Barcelona Madrid nazo zina suffer viwango vya wachezaji vibovu but still wanvumilia
Ukiwa shabiki ushindi t timu ikifungwa unkuw mpinzan bas utkuw unaumia kila siku
Lazima utumie akili za kawaida tu, Chelsea ni sawa na Man city au Azam hapa bongo
Haina na haijawahi kuwa na mashabiki wa kweli especially huku Tanzania,wengi ni wale walioletwa na upepo wa kisulisuli kutoka katika timu mbalimbali walizokuwa wanashabikia baada kupitia kipindi kigumu mfano Liverpool,Man utd na Arsenal vishabiki vya chelsea vingi ni vitoto visivyokuwa na uvumilivu na vinafki, yaani sawa na mwanamke anayeishi na mwanaume kutokana na pesa na pindi mwanaume anapochalala vinatafuta dume lingine,
Usaliti haujawahi kumuacha mtu salama,

Aliyekuwa shabiki wa Chelsea kabla ya Mourinho ajitokeze hapa

Haka katimu kakipotea kila nguchiro atarudi katika kichaka chake
 
Lazima utumie akili za kawaida tu, Chelsea ni sawa na Man city au Azam hapa bongo
Haina na haijawahi kuwa na mashabiki wa kweli especially huku Tanzania,wengi ni wale walioletwa na upepo wa kisulisuli kutoka katika timu mbalimbali walizokuwa wanashabikia baada kupitia kipindi kigumu mfano Liverpool,Man utd na Arsenal vishabiki vya chelsea vingi ni vitoto visivyokuwa na uvumilivu na vinafki, yaani sawa na mwanamke anayeishi na mwanaume kutokana na pesa na pindi mwanaume anapochalala vinatafuta dume lingine,
Usaliti haujawahi kumuacha mtu salama,

Aliyekuwa shabiki wa Chelsea kabla ya Mourinho ajitokeze hapa

Haka katimu kakipotea kila nguchiro atarudi katika kichaka chake
Kwahiyo wewe unakadi ya Manchester yako au unatambuliwa na mliki muondowe roho mbaya fitna na unafiki kwa timu za wezenu nyie mbaki na simba yanga zenu zenye kuamini uchawi
 
Lazima utumie akili za kawaida tu, Chelsea ni sawa na Man city au Azam hapa bongo
Haina na haijawahi kuwa na mashabiki wa kweli especially huku Tanzania,wengi ni wale walioletwa na upepo wa kisulisuli kutoka katika timu mbalimbali walizokuwa wanashabikia baada kupitia kipindi kigumu mfano Liverpool,Man utd na Arsenal vishabiki vya chelsea vingi ni vitoto visivyokuwa na uvumilivu na vinafki, yaani sawa na mwanamke anayeishi na mwanaume kutokana na pesa na pindi mwanaume anapochalala vinatafuta dume lingine,
Usaliti haujawahi kumuacha mtu salama,

Aliyekuwa shabiki wa Chelsea kabla ya Mourinho ajitokeze hapa

Haka katimu kakipotea kila nguchiro atarudi katika kichaka chake
Bro jisemee wewe kutokana umri wako au upeo wako! Ila wengine tumeanza kushabikia Chelsea kitambo na tuna sababu zetu na hatujawah ongea Kama hvi... Me nmeanza na Chelsea ya Ranieri 2002/2003 ndo najielewa naanza kuipenda Chelsea Ila 2004 ndo nkazidi ipenda Mourinho anakuja pamoja na drogba so ukisema b4 Mourinho hamna alikuwa shabiki unakosea ko jisemee mwenywe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom