mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
uyo Alkuw academy ya Chelsea alivokuj lmpard ndo kmpndshAmetoka nae Derby County huko
uyo Alkuw academy ya Chelsea alivokuj lmpard ndo kmpndshAmetoka nae Derby County huko
AVB hakuwahi kuchukua UEFA na ChelseaSio kweli msimu wa AVB, chelsea tulimaliza nafasi ya 6 nyuma ya newcastle.
Ila tulibeba Uefa champions league pamoja na FA cup.
Msimu ambao najua tulimaliza nafasi za chini ni msimu wa mourinho, alioumalizia Guus Hiddink
Wee nawe ni mbuzi tu, huwezi kutoa maoni mbadala bila kutukanaMzee usiwe mshabiki maandazi Kama yule London is blue nakuheshimu Sana ila leo umeteleza kuwa mwelewa hiv inaweza kumweka kante au Kovacic bench kisa gilmour? Mfumo wa leo unamfevour Sana kante leo ndio utamuona yule kante wa Conte kaweka solid Sana pale Kati alafu free role kampa RLC so Leo kante atastick katikati pekee na kulinda mabeki.
lembu Cash Money Forever
Mwisho wa siku kinachotakiwa ni matokeo, Giroud na Pulisic wameonyesha kuwa wanadeserver kupewa muda zaidiGiroud alipewa nafasi akafunga, nafikiri ana deserve over Tammy na pia yuko fit. RLC mechi iliyopita kafunga magoli 2 na yuko fit.
James nafasi yake ina ushindani. It's hard to bench captain kwa sasa. Ila natumain watapewa some air time kulingana na namna mechi itakavyo kuwa.
girmour kuchez epl itkua mara chache awez kutumk kma wew unvotakaTumeshinda ila hapana, tukicheza na bayarn then wachezaji ni hao akina barkley na RLC, tutaoga magoli, Hiv Lampard,Glimor hiv hamuoni? kocha kiazi.
Ilka kwa ushindani utakaokuwepo, RLC anatakiwa abadilike, ana elements za kuvuta mpira hata wakati wa Sarri,RLC bado ana injury syndrome. Siyo yule wa babu Sarri au wa Crystal Palace. Leo amecheza chini ya kiwango nahisi anakosa kujiamini baada ya injury ya muda mrefu
Too pessimisticTumeshinda ila hapana, tukicheza na bayarn then wachezaji ni hao akina barkley na RLC, tutaoga magoli, Hiv Lampard,Glimor hiv hamuoni? kocha kiazi.
uyo jmaa ni hater sijaon kosa la lmpard kuto mpng uyo dogoToo pessimistic
Nilikuwa kwenye kikao, nilipata dk 10 za mwisho kwa hiyo mpaka niangalie replay leo au kesho
Nilishakuambia central back inatiwa iwe priority kwa Chelsea.Mzee si nilikuambia mfumo wa leo ni rafiki kwa kante umeona alivyokichafua?Hiyo ndio position halisi ya kante Sio kumchezesha mbele nazani Lampard atarudia Tena kumchezesha kante mbele Cash Money ForeverUsajili wa mabeki ni must hilo halina majadala. Kwa sasa timu ina beki ya ovyo sana.
Sent using Fly in any Weather.
Ktk mechi 9 nilibashiri tutashinda 4, droo 3 na kufungwa 2Katika point 48 tulizo nazo tuna uwezo wa kufikisha 63 ambazo Man U na Wolve hawataweza kuzifikisha
Lampard ampe muda wa kutosha Bill Gilmour na kule mbele asimuache RLC, Mount na Willian, Giroud na Tammy wapokezane, akianza huyu akaboa apokee mwenzake nk
- Chelsea tuna pts 48 ktk mechi 29, Zimebaki mechi 9, mechi za uhakika za kushinda ni 4, draw 3 projected total points = 63
- Man U wana pts 46 ktk mechi 30, Zimebaki mechi 8, mechi za uhakika za kushinda ni 3, draw 3 projected total points = 58
- Wolve wana pts 46 ktk mechi 30, Zimebaki mechi 8, mechi za uhakika za kushinda ni 3, draw 4 projected total points = 59
- Shefield U wana pts 44 ktk mechi 29, Zimebaki mechi 9, mechi za uhakika za kushinda ni 2, draw 5 projected total points = 55
Si nilikuambia mzee mfumo wa leo ndio namna ambavyo kante alitakiwa acheze nazani Lampard amejifunza kitu so why huyo gilmour akawekwa benchi na jorginho.Leo kante kachezeshwa number 6 ila wangepangwa gilmour au jorginho kante asingecheza Leo number 6 Bali angechezeshwa mbele lembu Cash Money ForeverNilikuwa kwenye kikao, nilipata dk 10 za mwisho kwa hiyo mpaka niangalie replay leo au kesho
Namba 3 ndo tunaitaka.Hongereni kwa kupata ushindi, I hope namba 4 mtaipata.
Kante Leo alichezeshwa kwenye nafasi yake halisi kwangu ndio man of the match leo.Hongereni kwa kupata ushindi, I hope namba 4 mtaipata.
Hili nilishawaambia watu humu Kai sio muhimu Tena Chelsea zaidi wa focus kwenye kusajili central back na left back.Sema kwa jinsi Mount anavyocheza nami naanza kujiuliza hatuna haja sana ya Kai Havertz. Kamechangamka sana
Naona kwenye app ya Chelsea wamempa PulisicKante Leo alichezeshwa kwenye nafasi yake halisi kwangu ndio man of the match leo.
Kama ujui mzee huyo ndio ana maamuzi ya haraka kuliko LampardNatilia mashaka uwezo wake wa kumshauri Lampard.
Sent using Fly in any Weather.