lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,485
Ndugu yangu mechi sikuangalia, jana usiku nilijitahidi kuangalia replay nikashindwa kwa sababu ya usingizi. Pamoaj na hayo comments nyingi za humu ndani na za kwenye mitandao mingine inaonyesha Kante alitawala katikati kisawasawa na ndio maana possession ya Chelsea ilikuwa 74% kwa mechi yote. Sisi washabiki tunachotaka ni hilo, matokeo sio mchezaji. Kante akifit kwenye mfumo tunakuwa pamoja, asipofit auzwe ndio lengo. Alichofanya Lampard ni sawa kabisa ila tu amtafutie pa kumuweka kinda Bill Gilmour kwa sababu anatufaa pengine kuliko hata hao akina Havertz wa mil 90.Vip mzee si ulitaka kante auzwe kwasababu aendani na mfumo wa Lampard umeona leo Lampard kaamua yaishe kamchezesha kwenye eneo lake halisi Hili umeshindwa kabisa kuligusiwa Kama Lampard angekuwa anampanga kante kwenye eneo lake tusingekuwa tunapoteza game kirahisi jorginho alitukosti Sana kwenye nafasi yake.Tukija kwenye issue ya Gilmour yah Ni mchezaji mzuri lakini Kama atachezeshwa basi kante hatachezeshwa kwenye natural position yake labda tu Lampard ampe Gilmour role nyingine ya number 10. lembu
Maoni yangu Kochga aendelee kumuweka hapo asibadilishe tena mfumo wala wachezaji kama alivyofanya Conte msimu wa 2016/17 alivyoswitch kwenye mfumo wa 3-4-3 hadi kubeba kombe baada ya kufungwa na Arsenal 3-0. Hiki kipindi sio ya kubadilibadili mifumo na wachezaji
46 wins 
