Mtazamo wangu Chelsea ifocus kuimarisha maeneo ya msingi Kama Centra back na left back huyo kai waachane nae hatuna tatizo kwenye kiungo.Chelsea ndio team ya pili (big create chances most) nyuma ya man city, Man city ana 199, Chelsea ana 157 wakati Liverpool ana 155 Hadi sasa kwenye msimu huu.Tatizo la msingi la Chelsea ni kuconvert those chances into goals so why we sign Timo werner so hatuna tatizo la kiungo Ziyech anaweza pia kucheza no 10 role tunae, Pulisi,RLC,mount as well as Kovacic so huyo Kai wanini? Ukiangalia sifa kuu aliyonayo Kai ndio anayo RLC na Mount Hawa wote Ni scoring midfielders.Hiyo pesa kubwa ya Bei ya Kai kanunueni beki kisiki na left back shughuli itakuwa imeisha sio kumnunua Kai.
lembu Cash Money Forever Haifungiki Kyatile
LONDON IS BLUE Ollachuga Oc