Sasa hapo matusi yapo wapi?Wee nawe ni mbuzi tu, huwezi kutoa maoni mbadala bila kutukana
Sasa hapo matusi yapo wapi?Wee nawe ni mbuzi tu, huwezi kutoa maoni mbadala bila kutukana
Loft cheek hajawahi kuwa mchezaji mzuri.. Ni mchezaji ambae anapaswa kuuzwa mapema sana.. Hakuna kipya kwenye mguu wakeIlka kwa ushindani utakaokuwepo, RLC anatakiwa abadilike, ana elements za kuvuta mpira hata wakati wa Sarri,
Mimi naamini atarudi kwa nguvu sana watu watashangaa. Maana ile kasi yake ya kushambulia leo haikuwepo kuna cross moja ilipigwa ilibidi afunge lakini hakuwa kasi akachelewa. Nadhani ni swala la muda atarudi ktika makali yakeIlka kwa ushindani utakaokuwepo, RLC anatakiwa abadilike, ana elements za kuvuta mpira hata wakati wa Sarri,
He has always been slow...as far as I cna remember. He only has flashes of brilliance.Mimi naamini atarudi kwa nguvu sana watu watashangaa. Maana ile kasi yake ya kushambulia leo haikuwepo kuna cross moja ilipigwa ilibidi afunge lakini hakuwa kasi akachelewa. Nadhani ni swala la muda atarudi ktika makali yake
Kama mungu akijaalia hata 1Hongereni kwa kupata ushindi, I hope namba 4 mtaipata.


Kama mungu akijaalia hata 1![]()
It will be better if you check him again. You remember his combination with Hazard? Am talking about Ruben Loftus Cheek man gocheck him again!!He has always been slow...as far as I cna remember. He only has flashes of brilliance.
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
Na nyie mtakua mnagombea namba ngapi?Hapo unazungumzia msimu ujao ambapo mna kikosi kipya.
Mtakuwa mnagombea namba 2 kati yenu na City.
Leo Lampard kampanga kante eneo lake halisi sioni watu wakilizungumzia Hili.N'Golo Kante vs Aston Villa:
- 95 touches
- 90 passes
- 9 long passes
- 2 key passes
- 2 tackles
- 1 interception
- Dribbled past 0 times.
New role? No problem.

Na nyie mtakua mnagombea namba ngapi?
Vip mzee si ulitaka kante auzwe kwasababu aendani na mfumo wa Lampard umeona leo Lampard kaamua yaishe kamchezesha kwenye eneo lake halisi Hili umeshindwa kabisa kuligusiwa Kama Lampard angekuwa anampanga kante kwenye eneo lake tusingekuwa tunapoteza game kirahisi jorginho alitukosti Sana kwenye nafasi yake.Tukija kwenye issue ya Gilmour yah Ni mchezaji mzuri lakini Kama atachezeshwa basi kante hatachezeshwa kwenye natural position yake labda tu Lampard ampe Gilmour role nyingine ya number 10. lembuKama wachezaji waliocheza vizuri wataendelea ku-perform vizuri hivi mechi zilizobaki:
Washambuliaji: LW itakuwa ya Pulisic, Striker Timo, RW ya Ziyech
Viungo: Mount, Kante na Kovacic
Beki: Alonso/LB mpya - Rudiger CB Mpya - Azpi
Kipa: KEPA
Tammy na Giroud watakuwa Backup ya Timo
Odoi atakuwa backup ya Ziyech na Pulisic
RLC, Bill na Jorginho watakuwa backup ya kiungo ila bado nasema Bill apewe muda zaidi, kuwa man of the match mechi 2 mfululizo sio kubahatisha
Nyuma kuna shida tunahitaji LB wa kusaidiana na Alonso na muhimu kusajili CB wa kuja kuwaongoza wenzake kama alivyokuwa akifanya John Terry. Lile Goli la Aston Villa halikubaliki kabisa. Chritensen alilala fofofooo, waliojitahidi ni Rudiger na Azpi japo nao wangewamark Aston villa lisingetokea lile goli. We ulishaona wapi attacker wanne kwa defenders wawili wanazuia goli lisifungwe?
In short we need a CB very urgent
Kai sio wa muhimu ataflotisha akaunti zetu bure ila akija anaweza kuongeza ushindani kwa akina Mount, Pulisic na Ziyech
Tatizo la fitness the same as RLC.Jana james mbona amecheza kizembe namna ile shida ilikuwa nini? Hajarudi fit bado?
Sent using Fly in any Weather.