Jamani someni huo ujumbe mwema, sasa RB Lepzig ni timu rafiki na The Blues
mimi nasubiri kwa hamu michanğo ya misiba next wèekHapa tunaokota point ngapi aisee?View attachment 1482585
[emoji28][emoji28]View attachment 1482446
Sura halisi ya ligi mwakani
Forward watatu tu JUMLA magoli 70, TUMEMALIZA LIGI NA WACHEZAJI WATATU.
- Timo magoli 30
- Tammy magoli 20
- Hakim magoli 20
Hujaweka ya akina odoi, pulisic, mount, na zile moja moja za akina Alosno, Rudiger, Kante, Jourginho
View attachment 1482626
mpira bila tambo haunogiNakushauri tu bado ni mapema usiwe unapost vitu kama hivi technologia haisahau watakufukulia makaburi.
Muje mumchukue LuizUza BARKLEY = Nunua HAVERTZ
Uza JOGINHO = Nunua kiungo mchezaji/Playmaker
Uza EMERSON = Nunua CHILWELL
Uza ZOUMA = Nunua CB
Huyu werner mnamuona kama Messi etiiii eeehhh,kumbe ni batshuay mweupeChelsea bought Timo Werner and Hakim Ziyech for a combined fee of £78.6m.
Arsenal bought Nicolas Pepe and David Luiz for a combined fee of £80m.
I stick choose Batshuayi mweupe[emoji848][emoji3]Huyu werner mnamuona kama Messi etiiii eeehhh,kumbe ni batshuay mweupe
Yan apo lbda barkrey ndo atauzwa Ila jorginho kuuzwa cio kaz rahicUza BARKLEY = Nunua HAVERTZ
Uza JOGINHO = Nunua kiungo mchezaji/Playmaker
Uza EMERSON = Nunua CHILWELL
Uza ZOUMA = Nunua CB
Hiv marina kwenye account ya Instagram anatumia jina gani?Sajili zilizobaki (Chilwel & Havertz) pochi nene inahusu.
Kante hauzwi.Hapa Mashabiki lazima tugawanyikeView attachment 1482974
Mchezaji pekee wa pochi nene ninayemuamini ni Jadon Sacho hawa wengine tunaweza kurudia tamthilia ya Countinho na BarcelonaSajili zilizobaki (Chilwel & Havertz) pochi nene inahusu.
Kwa nini asiuzwe Jo kwa sababu akiajiriwa kiungo mchezeshaji au Ziyech akiwekwa kwenye kiungo, Jo hawezi kukaba na kwa hiyo atakuwa suplus kwa LampardMchezaji pekee wa pochi nene ninayemuamini ni Jadon Sacho hawa wengine tunaweza kurudia tamthilia ya Countinho na Barcelona
Kwa nini Uongozi usijikite kwenye Defense na Kiungo? Wachezaji watatu tu, LB, CB na Kiungo mchezeshaji. Kama wakimkosa kabisa, Hakim Ziyech anaweza kufogi na kucheza vizuri midfield kuliko hawa tulio nao.
Chelsea ndio mkweli" Timo Werner, bado ni mchezaji wetu halali atujapokea ofa yoyote kutoka katika klabu ya Chelsea, nimeona kwenye vyombo vya habari zina ripoti kuwa Chelsea wametoa kiasi cha paundi milioni 54 kumsajili sio za kweli ni za uzushi
.
.
" Sijapokea ofa yoyote kwa sasa tunaangalia lengo la kufuzu Michuano ya klabu Bingwa Barani Ulaya kwa msimu ujao ndio malengo yetu makubwa hayo ni bado mchezaji wetu nina imani atasaini mkataba mpya sio mda mrefu wa kuendelea kubaki na sisi
.
.
" Tuna mpango wa kumuongeza mkataba kwa sababu ni mchezaji mwenye umri mdogo hatuwezi kumuacha kuondoka hivi hivi kama atataka kuondoka lazima atuambie sisi viongozi wake," Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Rb Leipzig, Olivier Mintzlaff.
.
.
NB: Hii mpya sasa[emoji113] nani mkweli hapo eti mashabiki wa Chelsea
Tammy atacheza vizuri kwa sababu kuu mbili,Hapo lamps anachekelea anavyompenda Tammy acheze. Ila tusitegemee makubwa kutoka kwa Tammy tuendelee kuassume kwamba uwepo la Tammy tunacheza pungufu uwanjani.
Otherwise Labda Tammy ajeuke mpikaji wa mabao kama anavyofanya Firmino wa Livepool awaachie Werner na Ziyech watupie mabao.