lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Kwa maoni yangu ningependa wote wauzwe ila kama ni mmoja auzwe Jo auzwe kwa sababu Kante bado anaweza kutumiwa kwenye defensive roles. Naunga mkono uuzwaji wa Kante kwa sababu atatupa pochi nene ya kuweza kuwaleta tallents wachanga kama akina Havertz.Kila siku unasema hapa Kante auzwe leo unasema Jo auzwe tukuelewe vipi mkuu?
Kwa falsafa ya Lampard ya kucheza kwa kasi na kuposses mpira kila wakati, Kante na Jo hawataweza, tumeshashuhudia mara nyingi hapa na watu mnajitoa ufahamu. Mechi nyingi Kante akicheza chini ya Lampard tunafungwa au droo. Kwa takwimu zinaonyesha kuwa winning rate ya Chelsea akiwemo Kante ni 36% tu na asipokuwepo ni 71%.
Chelsea have only won 33.3 per cent of their league games with Kante in the team and 87.5% without him. In all competitions it gets slightly better but they have still won only 36.8% with him and a surprising 71.4% without him.
Stats show that Chelsea have lost more games with Kante on the pitch. What could be the problem? – THE REAL CHELSEA FANS
That statistics show this and, remarkably, Chelsea are winning more without him in the side. Chelsea have only won 33.3 per cent of their league games with Kante in the team and 87.5% without him. In all competitions it gets slightly better but they have still won only 36.8% with him and a surprising 71.4% without him.
Chelsea are worse with Kante in the team, should Lampard leave him out? | Goal.com
