Kutaka Kai asajiliwe sio kivile.
Matamanio yangu makubwa yalikuwa usajili wa STRIKER (FINISHER) na
kiungo mchezeshaji/playmaker aina ya Fabrigas (BRAIN) wa timu, mchezaji atakayerahishisha uchezaji kwa wachezaji mwengine, timu isitumie nguvu kuuubwa kucheza mpira
Nimefurahi striker tayari tumempata. Kiungo mchezeshaji sidhani kama atasajiliwa.
Kuhusu pale nyuma, tumeshakubali kwamba Chelsea msimu huu tunabeki mbovu sana (Ovyo kwenye kukaba, kumark adui, kuruka mipira ya vichwa)
Kama unavyosema akitua LB ule upande kula utakoma kuwa uchochoro wa kushambuliwa na adui.
CB ni wa muhimu zaidi tunahitaji beki kisiki, mrefu na mzuri kwenye kupiga vichwa either vya kuokoa magoli ya kona au kupanda juu kufunga mipira ya kona.
Pia huyu CB awe kiungozi wa safu ya ulinzi kama alivyo Vidjk pale Liverpool. Rudger ni mzuri kwenye kupewa maelekezo na kuyafanyia kazi.
Sent using Fly in any Weather.