lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,387
- 25,493
Wadukuaji wa wikipedia, Quaresma alikaa miezi minne tu na wala hakucheza sana na hakuna hata shabiki wa Chelsea aliyekuwa akimfuatilia kwa sababu hakuwahi kuwa na namba pale darajani.Na wewe ni shabiki wa Chelsea?????
Swali gani sasa hili?hebu kaa na wenzio wakupe japo A,B,C za club yako,kama unashangaa kwa Ricardo Quaresma ukiambiwa kuhusu Didier Deschamps na kina Maniche si utakataa wewe...!!!!
