Hahaa.. Mkuu hao ni wachezaji potential sana sema naona wengi wanawachukulia poa. Ngoja tuone msimu ujao itakuajeHahahahamkuu kuna wachezaji wawili unawafagilia sana:-
LFC
Abraham
Nasubiria msimu ujao, niprove maono yako.
Tuna timu kali sana, viraka vichache tu ndio ilitakiwa tuzibe na huwezi kuamini tatizo halikuwa la Abraham wala mbele. Form ya Gilmour ilituonyesha wazi tatizo liko wapi. Everton waliokuwa wanatusumbua walikula 4-0, Liverpool wakala 2-0. Tukimpata creative midfielder wa kusaidiana na Bill Gilmour na Kovacic na tukampata LB (Ben Chilwell asaidiane na Alonso) hata tusipopata CB akina Rudiger, Christiansen na Tomori wanatosha kabisa, mwakani tupo uso kwa uso na hao wengine watakaokuwa nakiherehere cha ubingwaHahaa.. Mkuu hao ni wachezaji potential sana sema naona wengi wanawachukulia poa. Ngoja tuone msimu ujao itakuaje
Aiseeeeh mbona unaforce kuwa mkubwa????Kuna mwandishi mmoja kule FORBES kafafanua vizuri tofauti ya timu kubwa na ndogo kifedha
Timu ndogo hawafanyi manunuzi makubwa wakati wa janga kama hili la CORONA bali wao watategemea kukopa, kuswap wachezaji au kufanya manunuzi baada ya kuuza wachezaji ili wapate pesa za kuingia sokoni.
Anaendelea kusema kwa Chelsea wao ni tofauti, wako kwenye kundi la timu kubwa kifedha, hata kabla msimu wa kuingia sokoni haujaanza, wameshafanya manunuzi makubwa ya Ziyech na Timo
Timo Werner Bid Puts Chelsea In A Different League From Their London Rivals
Hayo ya kusema jamaa ni mzigo ni maneno ya mkosaji?Mzee Willian anaondoka hakuna namna. Ameshakataa offer ya miaka miwili yeye anataka mitatu. Halafu pamoja na hivyo Willian tayari ni mzigo muda wake umeisha aende tu.
Huo mzigo wapelekeeni Arsenal kama mlivyofanya kwa LuizMzee Willian anaondoka hakuna namna. Ameshakataa offer ya miaka miwili yeye anataka mitatu. Halafu pamoja na hivyo Willian tayari ni mzigo muda wake umeisha aende tu.
Wacha kulalamika, fuata hiyo link ukasome mwenyeweAiseeeeh mbona unaforce kuwa mkubwa????
Hahahahah kama mfupi ni mfupi tu urefu hauletwi na viatu.....
Ata ukivaa kigodoro kama wewe ni kimbaumbau utabaki hivyo tu....
Luiz walimnunua mil 8 sasa Willian wambebe bure kabisaaaaaHuo mzigo wapelekeeni Arsenal kama mlivyofanya kwa Luiz
Willian namfuatilia ana katabia fulani kila inapofika mwisho wa mkataba wake ndio anaanza kujituma hii mara ya pili anafanya hivyo. Sasa huo sio mzigo?Hayo ya kusema jamaa ni mzigo ni maneno ya mkosaji?
Yaani uongozi wa klabu ukubali kutoa mkataba wa miaka miwili kwa mchezaji ambaye ni mzigo!!!!!hahahahaha sizitaki mbichi hizi
Klopp mwenyewe anautakaHuo mzigo wapelekeeni Arsenal kama mlivyofanya kwa Luiz
Hizo sajili tatu zikifanikiwa aiseeeehhh nitanunua jezi ya chelsea iliyoandikwa Timmo KaiZiyech...Balozi wa Chelsea kule Arsenal na shabiki wa Arsenal naona umerudi. Karibu sana mwakilishi wetu.
Unazungumziaje usajili wa Ziyech, na usajili ujao wa Werner na Harvetz?
@CashmoneyForever me nataka Alex telles huyu ndio atatufaa zaidi ana sifa tofauti na alonso, jamaa Ni pure defensive left back na ana Kasi hii inatufanya tuwe na option nzuri kutokana na aina ya game inataka Nini Kama tunataka kushambulia zaidi Alonso aanze Kama tunataka balance kushambulia kiasi na kukaba Sana Alex telles ataanza.Lazima kielewekeView attachment 1475070