Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tusimwangalie KANTE tuu, Kuna huyu Jognho mchezaji anayechanganya akili zetu.

Huwa naulizaga hapa role ya Jognho uwanjani ni ipi? Natolewa mifano ya mechi alizocheza ya Arsenal.

A:- Jognho sio kiungo mkabaji kwa sababu:-

1. Uwezo wake wa kukaba ni mdogo

2. Hawezi kupora mipira

3. Hana speed ya kumkimbiza adui

4. Anacheza rafu sana kwenye ukabaji wake.

B:- Tukisema Jognho ni kiungo mchezeshaji bado hawezi kuvaa viatu vya Fabrigas.

Uwepo wa Jognho unachanganya majukumu ya Kante, unachanganya safu ya ukabaji.

Kwanini hawa wachezaji JOGNHO na KANTE wote wasiuzwe?
Weeee wauzwe? Yaani uibomoe timu hivi hivi makusudi?

Kante hauzwi na Jorginho hauzwi.


Ivi hamjui Chelsea ndio timu pekee iliifunika Man city kwa possession pale Etihad?

Kwanini iliifunika City kwa possession? Ukipata mujibu basi hapo ndo utaona umuhimu wa Kante, Covacic na Jorginho....


#KTBFFH
 
Ukweli ni kwamba tunahitaji kiungo mkabaji, Gilmour anaonyesha dalili ila Kovacic yeye ni mchezeshaji tu na ana uwezo wa kupeleka mipira mbele. Tunahitaji kuwa shield mabeki hata kama tutapata mabeki wazuri. Timu zote zinazofanya vizuri ni kwa sababu wana viungo wanaowalinda mabeki vizuri na wenye uwezo wa kupeleka mipira mizuri kwa wafungaji kule mbele. Tunahisi Kante yuko exhausted au hachezeshwi vizuri au anahitaji changamoto nyingine mbali na Chelsea
Covacic ata ktk ukabaji yuko vzr.


Angalia records ya Takles alizofanya, interceptions alizofanya. Jamaa yuko vzr
 
Gilmour Ni mchezaji mwenye talent lakini Hana experience so ana room ya kujifunza na kupata uzoefu zaidi so kivyovyote Chelsea lazima iingie sokoni kuchukua mbadala wa kante ambaye ana uzoefu zaidi ambaye na muona ni Thomas Partey anatufaa zaidi.Uwezi kuwa unataka ubingwa wa epl au uefa alafu unamtegemea Gilmour ambaye uzoefu Hana utakuwa muongo.
Bill can do wonders. Haitaji uzoefu wowote. Angalia game alizopewa nafasi na Lamps kucheza. Kufanya vitu mabaya. Awesome job.... Sasa unataka apate uzoe Wa nini?
 
Chelsea wanataka kurudia smart move ya Liverpool walipomuuza Philippe Countinho mwaka 2017 kwa Bracelona. Liverpool walipata mshiko ambao uliwasaidia kuwanunua Virgil van Dijk and Alisson Becker ambao waliwafanya Liverpool kuwa Genuine Title Contenders 2018/19 na sasa mabingwa watarajiwa 2019/20.

Chelsea tumemuuza Eden Hazard tukapata pesa za kumnunua Hakim Ziyech na Timo Werner ambao wakija darajani wataifanya Chelsea kuwa Genuine Title Contenders na sio Championship contenders.

Wote Countinho na Hazard wameenda kuwa flop kwenye timu kubwa duniani wanaocheza ligi moja ya Laliga

Muda sio mrefu Real Madrid nao wataanza kuweka harakati za kumu-offload Eden Hazard ili wapate mshiko wa kuwanunua wachezaji mbadala

Hivi sasa Barca wanaitafuta timu ya kumuuzia Countinho kwa mil60 jumlisha na kumlipa nusu ya mshahara wake akiwa nje ya Nou Camp

Hii inaonyesha kuwa kumuuza mchezaji muhimu sio kila mara ina madhara bali saa nyingine ni faida. Ndio maana mimi nawashangaa watu wanakuja juu ikija swala la kumuuza Kante wakati kwenye mfumo wa Lampard ameshindwa kufit na akiuzwa anaweza kutupa mshiko wa kuwanunua alternative key players wanaofit kwenye mfumo na kutupa raha

Smart Move is part of football
@lembu muache Kante azeekee darajani. Ata hivo si kweli kwamba Kante ameshindwa kwenda sawa na mfumo wa Lamps
 
Sijui kwa nini nafurahi nikiona Courtois akifungwa. Nimeona hapa kafungwa goli la kizembe nimefurahi tu.


Ila Hazard anasikitisha sana...ule udambwi dambwi umepotea kabisa aisee

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Dully jr. waambie management wachangamkie vifaa hivyo bei poa tu
  1. Tiemoue Bakayoko, mil 35
  2. Emerson Palmieri, mil 25
  3. Davide Zappacosta, mil 30
  4. Danny Drinkwater, mil 20
  5. Michy Batshuayi mil 30
  6. Victor Moses mil 30
  7. Ross Barkley Mil 30
Jumla kuu Mil 200
Nyie mnatoa ngapi?
 
Newcastle have held talks over a move for Chelsea full-back Marcos Alonso, according to The Mirror.
 
TIMO WERNER ANAKUJA HAJI?
Leo ndio siku ya mwisho kwa ile release clause iishe muda wake. Marina asipofanya kitu hapo tumeliwa itabidi tu tumpandishie Tammy Abraham mshahara wake alioudai
 
Mikel Arteta has a "much harder job" on his hands at Arsenal than Frank Lampard does at Chelsea, according to Cesc Fabregas.
 
Hivi Alonso na Emerson wakiuzwa LB wa pili atakuwa nani?
 
Chelsea isimsajili Kai Loftus cheek,kovacic na mount wanatosha badala yake wanunue central back na left back biashara itakuwa imeisha.
 
Chelsea ilimpoteza Fabrigas (Michezo 198, Magoli 22 & Assist 57), tunatakiwa tumsajili kiungo mchezeshaji aina ya fab pale katikati.
Kama Ni hivyo Kai sio mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kukupa assist nyingi yule Ni midfielder scoring Kama wakina Loftus cheek,mount Kama tunataka kiungo mbunifu basi tumsajili coutinho.
 
1592227048459.png
 
Chelsea isimsajili Kai Loftus cheek,kovacic na mount wanatosha badala yake wanunue central back na left back biashara itakuwa imeisha.
Japo uko na point ila akisajiliwa kwa bei poa Kai ni hazina kubwa. Pale kuna tallent kubwa ukichukulia umri wake. Ila ukweli ni kwamba Wachezaji wa Chelsea sio wa kiwango cha chini kama ya wale majirani zetu
Wee anza na Pulisic, RLC, Mount, Bill Gilmour nk, wote umri mdogo tallent za kutisha
 
Mason Mount mchezaji wa ghali kwenye ligi 5 kubwa duniani zaidi ya Messi, Ronaldo, VVD, Kai Havertz, Lutaro Martinez, Timo Werner na wenzake.
Katika wachezaji 20 wenye dhamani kubwa duniani Mount ni wa 19
Chanzo: Weekly Post 299
 
Japo uko na point ila akisajiliwa kwa bei poa Kai ni hazina kubwa. Pale kuna tallent kubwa ukichukulia umri wake. Ila ukweli ni kwamba Wachezaji wa Chelsea sio wa kiwango cha chini kama ya wale majirani zetu
Wee anza na Pulisic, RLC, Mount, Bill Gilmour nk, wote umri mdogo tallent za kutisha
Kai Ni scoring midfielder Kama Loftus cheek, mount so wasimsajili Kai,Kama Chelsea inataka kumsajili midfielder wamsajili midfielder wa aina tofauti na waliopo Chelsea yaani awe creative midfielder tofauti na hapo wafocus tu kwenye centre back na left back
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom