🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizo sajili tatu zikifanikiwa aiseeeehhh nitanunua jezi ya chelsea iliyoandikwa Timmo KaiZiyech...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizo sajili tatu zikifanikiwa aiseeeehhh nitanunua jezi ya chelsea iliyoandikwa Timmo KaiZiyech...
Huyo alitajwa sana huko nyuma labda post imewapita tu. Hata mimi nilimtaja mara kibaoInakuwaje huyo jamaa hatajwi kwenye tetesi zetu?
Kuna wachezaji Ni wazuri haswa na wanapatikana kwa Bei ya Kawaida lakini hawatajwi ikiwemo huyo jamaa na Kuna mwingine anaitwa Wissam Ben Yedder wa Monaco sijui Ni kwasababu ya price zao au nyota?Inakuwaje huyo jamaa hatajwi kwenye tetesi zetu?
Hakuna mchezaji wa ureno anayefeli ligi ya uingerezaIn summary, bringing Telles will be more of a gamble but at the same time, he could be a cheaper (and even better) alternative to Chilwell. But if Chelsea want a safer, long-term option, persuading Leicester to sell Chilwell is the way to go.
Hii point ya muhimu sana wadau.
Very moody. Anacheza anapotaka yeye.Willian namfuatilia ana katabia fulani kila inapofika mwisho wa mkataba wake ndio anaanza kujituma hii mara ya pili anafanya hivyo. Sasa huo sio mzigo?
Quaresma unamjua wewe?Hakuna mchezaji wa ureno anayefeli ligi ya uingereza
Quaresma unamjua wewe?sidhani hata kama unajua kuwa alipitia hapa Stamford bridge na akaflop vibaya,
Bebe je? Huyu Sir Fergie alipigwe mchana kweupeeeeeeeeeee.....na juzi tu bwana mdogo Renato Sanchez alikuwa mzurulaji hapo Swansea City.....
Au ndio shabiki chipukizi wa soka?
Wapo kibao....
Ndio maana Marina akamshtukia, hata mimi ananiuzi sana, anao uwezo wa kucheza vizuri ila linakuwa kama toto la kudekaVery moody. Anacheza anapotaka yeye.
Wapo waliofeli na pia wapo waliofaulu,Hakuna mchezaji wa ureno anayefeli ligi ya uingereza
Ku-cope sio ku-copy ndgWapo waliofeli na pia wapo waliofaulu,
Japo overall waliofaulu ni wengi kuliko waliofeli.
Waliofaulu mf kwa chelsea: deco, carvalho na meireless
Waliofeli : quaresma na ferreira
Ila in general ni wachezaji wazuri tuu, mf kikosi cha wolves wengi ni wareno, man city yupo fundi silva, man u wanaye bruno..
So in general wengi ni wazuri..
Tatizo ni ubora wa ligi ya ureno ndo unatia mashaka,, maana mara nyingi wachezaji wanachukua mda ku"copy wanapohamia ligi nyingine
Pulisic na Giroud watoe kwenye list apo.Willian, Pedro, Barkley, giroud, Odoi,pulisic ndo wameishia hapo?
Wametengewa mil 300 msimu huu, wataishia kuingia sokoni kibabe kama walivyofanya kwa Pogba na Sanchez na mwisho wa siku watakula garashaWallah manyumbu watatapika zile goal walizotufunga. View attachment 1476966
Hawa jamaa wakitua wote mechi za Chelsea sio za kukosa kuzitazama, wapinzani wanavyopokea vipigo heavy