Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki wa Liverpool wanywea chini baada ya Timo kukubali kwenda darajani. Wakati huo huo kocha wa Bayern Munich asema Chelsea wamepata kifaa, Timo Werner ni mshambuliaji anayefunga magoli
 
NILITAKA NISHANGAE ZIYECH ATUE ACHEZE NA KICHWA PANZI TAMMY, INGEKUWA KUMKOSEA HESHIMA ZIYECH. SASA TAMMY AMEPATA NAFASI YAKE NZURI ILIYOKUWA INAMSUBIRIA YA KUSUGUA BECHI. GIROUD ATAENDA KUWA SECOND STRIKER. GIROUD IS FAR BETTER THAN TAMMY NDIO MAANA AMEONGEZEWA MKATABA WA MWAKA MMOJA.
LONDON IS BLUE Nakuunga mkono kwa asimilia 💯. Kwanza Abraham alishaanza kuvimba mpaka kutaka mshahara mkubwa akazani atapata zali la mentari Kama aliyopata odoi
 
Wakiwemo wafungaji kule mbele wachezaji wote watacheza kwa kurelax
Hata mabeki na viungo viwango vya vitapanda kwa sababu watacheza kwa kurelax bila hofu kubwa
Kepa naye baada ya Lampard kumuondolea hati miliki ya kukaa golini naona sasa atakuwa golie mzuri sana
 
NASHUKURU SANA HATUTAMSAJILI
  1. Countinho
  2. Dombele
  3. Zaha
  4. Dries Mertens
NASHUKU SANA KUMSAJILI
  1. Timo Werner
  2. Hakim Ziyech
NITASHUKURU SANA TUKIMSAJILI MMOJA YA HAWA HAPA
  1. Ben Chilwell
  2. Jadon Sancho
  3. Kai Havertz
  4. Alex Telles
Chilwell na Sancho ni bora zaidi
 
Niamini... Huyu ni mchezaji mmoja wapo wa kuuzwa... Hapo hamna mchezaji...

Mzembe kwanza akipotezea mpira...
Sio mkabaji .. Akipoteza mpira anasimama
Mchoyo....

Hapa hakuna mchezaji ni bora aanze mount kuliko huyu
Wakuu naona wengi mnaanza kumsahau RLC. Huyu jamaa moto alouwasha kipindi cha Sarri naamini kabisa kwa Lampard lazima atoboe. Mount apambane sana
 
Timo Werner ana uwezo wa kucheza attacking Midfield, winger zote na striker. Wachambuzi wengi wanabashiri kuwa Tammy Abraham ataendelea kuwa No. 1 striker wa Chelsea huku Timo akitokea winger wa kushoto na Ziyech akitokea kulia

Possible Formation 4-3-3

Timo Werner - Abraham - Ziyech
Kovacic - Bill Gilmour - Kante
Azpilicueta - Zouma - Rudiger - Reece
Kepa
 
In quick-fire Q&A with ESPN, Haaland was asked who the one player he’d want to have played with that’s retired and replied: “Frank Lampard.”
 
Niamini... Huyu ni mchezaji mmoja wapo wa kuuzwa... Hapo hamna mchezaji...

Mzembe kwanza akipotezea mpira...
Sio mkabaji .. Akipoteza mpira anasimama
Mchoyo....

Hapa hakuna mchezaji ni bora aanze mount kuliko huyu
Hata Juan Mata kipindi cha Mourinho alisemwa ivyo. Amin nakwambia ndugu yangu kwa mchezo anaocheza Lampard ndio unamfaa RLC kwa sababu ya aggredive yake katika attacking. Labda haujamuangalia vizuri anatafuta mipira pia japo siyo jukumu lake kuu.
 
Loftus Cheek sio wa kumtegemea sana:-

1. Sio mchezaji wa dakika 90 anakata moto mapema

2. Udhaifu mkubwa wa huyu bwana kwenye harakati za kudrible akipoteza mpira haukabi anasimama (Odoi type)

3. Kuna mechi anakuwa baridi utadhani hayupo uwanjani na kuna mechi anakuwa wa moto utadhani anaitafuta hattrick.

Ni mzuri sana kwenye sub kuingia kufanya finishing ya game.
Mkuu hivi mnayemuongelea mnamjua vizuri au mmeishia kumuona kipindi cha Sarri, mlimfuatilia kipindi yupo Crystal Palace kwa mkopo? Halafu ukiongelea issue ya kukaba nadhani unamkosea sana kuna muda unamuona anatafuta mipira anaanza kudrible na kupandisha mashambulizi. Anamfaa sana Lampard kwemye attacking football atashindwa mpira wa Mou au ElChollo siyo kwa Lamps au Guardiola.
 
Tunajipaga matumaini ivi, mwisho wa siku tunafeli
 
Willian, Pedro, Barkley, giroud, Odoi,pulisic ndo wameishia hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom