Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Usajili wa beki wa kati ni muhim sana kuna mda tunafungwa magoal ya hovyo kutokana na uzembe wa beki zetu za kati
 
Liverpool winning race for Sancho by standard.co.uk
Walishindwa kumnunua Werner kwa mil 50 sasa wanamwendea Sancho wa mil 120. Hao wanajitambua kweli?
 
1592044176354.png
 

Real Madrid want Kante

Real Madrid want to sign 29-year-old France international N'Golo Kante from Chelsea, according to AS.

The Liga giants are prepared to offer up to £71m for the midfielder.


36e9f70c-9938-48d9-9ca0-e46c9f426919.jpg
 
Chelsea have lowered their asking price for Kourt Zouma down from £25million to £20million, but Spurs cannot afford to pay due to the financial impact of the coronavirus pandemic.
 
Real Madrid want Kante

Real Madrid want to sign 29-year-old France international N'Golo Kante from Chelsea, according to AS.

The Liga giants are prepared to offer up to £71m for the midfielder.


36e9f70c-9938-48d9-9ca0-e46c9f426919.jpg
lembu Chelsea wangekuwa na akili kubwa wangemuuza kante cos kante ana miaka 29 na ametumika Sana na kwa bei hiyo itakuwa Ni faida kubwa Sana after that wamnunue Thomas partey wa A.Madrid ambaye clouse price Ni paund million 45 tu alafu ana miaka 27 tu.
 
Embu tuwekane sawa hapa kuhusu Kante na Jognho.

Inasemekana kwamba tukimuuza jognho itatulazimu kuingia sokoni kumreplace/kununua mchezaji wa design/aina yake ya uchezaji

Ila tukimuuza Kante haitatulazimu kuingia sokoni kununua kiungo mkabaji kwa sababu tunaye kovacic na Glimour.

Hili imekaa vipi?
Gilmour Ni mchezaji mwenye talent lakini Hana experience so ana room ya kujifunza na kupata uzoefu zaidi so kivyovyote Chelsea lazima iingie sokoni kuchukua mbadala wa kante ambaye ana uzoefu zaidi ambaye na muona ni Thomas Partey anatufaa zaidi.Uwezi kuwa unataka ubingwa wa epl au uefa alafu unamtegemea Gilmour ambaye uzoefu Hana utakuwa muongo.
 
Gilmour Ni mchezaji mwenye talent lakini Hana experience so ana room ya kujifunza na kupata uzoefu zaidi so kivyovyote Chelsea lazima iingie sokoni kuchukua mbadala wa kante ambaye ana uzoefu zaidi ambaye na muona ni Thomas Partey anatufaa zaidi.Uwezi kuwa unataka ubingwa wa epl au uefa alafu unamtegemea Gilmour ambaye uzoefu Hana utakuwa muongo.
Dogo akipewa nafasi anaeza fanya vizuri tu ..EPL kwa sasa watoto wengi na mpira unazidi badilika
 
Embu tuwekane sawa hapa kuhusu Kante na Jognho.

Inasemekana kwamba tukimuuza jognho itatulazimu kuingia sokoni kumreplace/kununua mchezaji wa design/aina yake ya uchezaji

Ila tukimuuza Kante haitatulazimu kuingia sokoni kununua kiungo mkabaji kwa sababu tunaye kovacic na Glimour.

Hili imekaa vipi?
Ukweli ni kwamba tunahitaji kiungo mkabaji, Gilmour anaonyesha dalili ila Kovacic yeye ni mchezeshaji tu na ana uwezo wa kupeleka mipira mbele. Tunahitaji kuwa shield mabeki hata kama tutapata mabeki wazuri. Timu zote zinazofanya vizuri ni kwa sababu wana viungo wanaowalinda mabeki vizuri na wenye uwezo wa kupeleka mipira mizuri kwa wafungaji kule mbele. Tunahisi Kante yuko exhausted au hachezeshwi vizuri au anahitaji changamoto nyingine mbali na Chelsea
 
The Blues defeated QPR 7-1 in a behind-closed-doors friendly at Stamford Bridge.

Wafungaji wetu walikuwa ni:

  • Bill Gilmour - 2
  • Reuben Loftus Cheek - 2
  • Willian - 1
  • Olivier Giroud - 1
  • Mason Mount - 1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom