HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,993
- 102,833
EPL sio ligi ya kitoto
Wallah manyumbu watatapika zile goal walizotufunga. View attachment 1476966
Hawa jamaa wakitua wote mechi za Chelsea sio za kukosa kuzitazama, wapinzani wanavyopokea vipigo heavy