Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

SWALI:- Dirisha la January Lampard alitengewa £200M za usajili, ina maana kipindi kile tungeitumia yote kufanya usajili maybe tusingeuza mchezaji, inakuwaje sasa hivi tunaitumia budget yetu inatulazimu tena kuuza wachezaji kubalance vitabu?
Sijui, lakini ukijumlisha Timo 53, Ziyech 33, na kama watawanunua Chiliwell 70+, na Havertz 75+ itakuwa zaidi ya $/£ 231K. Lazima wauze wachezaji. Lakini sina ufahamu wa kutosha juu ya hilo. Wenye ufahamu zaidi watatujuza.
 
Kwa mfano hizi club kubwa zinatengeneza faida kubwa sana kupitia vyanzo mbalimbali mbali na kuuza wachezaji.

Club zina uwezo wa kusajili wachezaji kupitia vyanzo vingine vya mapato bila kuuza wachezaji

Au Hii FFP inaangalia mapato tuu ya kuuza wachezaji? ya balance na ya kununua wachezaji?
Shukrani bro.
 
Kama hiyo sheria ya FFP inaangalia tuu mapato ya kuuza wachezaji hiyo sheria itakuwa sio kabisa.

Kwa mfano Abromovich alivyoinunua Chelsea, si alimwaga mpunga mrefu wa kusajili wachezaji, na uhakika mapato ya kuuza wachezaji yalikuwa kiduchu wakati huo.

Ilikuwaje FFP haikuwa applied?
FFP ilianza kutumika takriban miaka 10 (2011/12) baada ya Abramovich kuinunua Chelsea. Kwahiyo wakati huo ilikuwa haitumiki ndio maana Chelsea ilikuwa inazipiku sana timu zingine. Iliweza kumnunua mchezaji yeyote inayomtaka.
 
Sijui, lakini ukijumlisha Timo 53, Ziyech 33, na kama watawanunua Chiliwell 70+, na Havertz 75+ itakuwa zaidi ya $/£ 231K. Lazima wauze wachezaji. Lakini sina ufahamu wa kutosha juu ya hilo. Wenye ufahamu zaidi watatujuza.
Sidhani kama wanaangalia hilo tu,, nadhani zaidi ni structure ya payment za mishahara..


Ndo maana watu wako radhi wauze kwa bei ndogo wachezaji(hasa wale wakongwe), maana mishahara yao hia mikubwa ili.kureplace na usajili upya
 
Na pia hua wanaangalia mapato na matumizi,, yaani umetumia kiasi gani cha fedha na umeingiza kiasi gani,. Ambapo kwenye kipengele hiki timu kubwa zinakua favoured, kwasababu ya structure zao za kuingiza mtonyo hua vizuri, ukianzia mapato ya tv, jezi na udhamini mwingine,
Ila kwa timu ndogo hua shida sana, hasa zinaponunuliwa na matajiri wakubwa, saivi zinashindwa kukua kwa kasi

Na hili mourinho aliliona mapema, amewai kusema FFP(Fifa financial fiar play), ilikua ni kwa ajili ya kuzibeba timu kubwa na kuzigandamiza ndogo.

Means, usitarajie timu ndogo hata ikinunuliwa na matajiri wa kiarabu, ikawanunua hazard, neymar, mbape, de bruyne kwa wakati mmoja ni impossible kwa sasa.

Sio kama enzi zile za growth of man city
 
Timu ndogo kuchukua ubingwa ni ndoto aisee. Timu chache sana zitaweza kutoboa kama Leicester city. Wakubwa wataendelea kuwa wakubwa forever.
Lakini naona wakiwekeza kwa kununua watoto wasiofahamika na wenye talent, watakuja kuzishangaza timu kubwa . Sema na timu kubwa nazo zinajiimarisha juu kwa juu....
 
Sera mpya ya Bosi ni kwamba Lampard ni lazima amnunue mchezaji baada ya kumuuza mchezaji

Chelsea head coach Frank Lampard has reportedly been told he must operate a one-in, one-out policy on transfers after an agreement was struck with RB Leipzig star Timo Werner.

But Chelsea owner Roman Abramovich is not willing to fund a full summer of transfers and has introduced a new policy.

According to the Sun, Lampard must offload one of his players before he can bring any new faces to the club.

The Sun claim two of the players most likely to leave, other than the out-of-contract Pedro and Willian, are central midfielders Jorginho and N'Golo Kante.

Maana yake
Kama Kai Havertz atanunuliwa ni lazima Jo na Kante wauzwe ndio wachezaji wenye bei inayokaribiana na dau la Havertz
Kama Chilwell atanunuliwa ni lazima Emerson an Alonso wauzwe ndio wachezaji wenye bei itakayomleta Chilwell
 
Ngolo Kante karudi mazoezini bana, sijui kama hofu imeisha ya Corona
Nadhani baada ya kusikia mitandaoni kwamba anaweza kutolewa kafara ili akina Havertz wanunuliwe
 
Timo Werner has previously admitted that his ability to create goals is one of his biggest strengths, suggesting that he and Abraham could prove to be a deadly partnership at Stamford Bridge.

"I think that assists are one of my strengths, Werner told Bundesliga.com last year. "You're always defined as a striker by how many goals you score, but now I play a new position under the new coach [Julian Nagelsmann].

"I'm playing almost as an attacking midfielder, which means I've got to play like the others do, like [Emil] Forsberg, [Marcel] Sabitzer, [Christopher] Nkunku, and get assists.
 
Jinsi Chelsea itakavyokuwa baada ya usajili wa msimu wa 2020/2021 wa akina Havertz, Timo, Ziyech na bila ya Jo, Kante, Barkley na Emerson

4-2-3-1

Timo Werner
Mount - Havertz - Ziyech
Kovacic - Gilmour
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

4-3-3
Timo Werner - Havertz - Ziyech
RLC - Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

3-4-3
Timo Werner - Havertz - Ziyech
Alonso - Gilmour - Kovacic - James
Chilwell - Rudiger - Christensen
KEPA
4-2-2
Timo Werner - Abraham
Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

4-2-2
Timo Werner - Havertz
Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA
 
Jinsi Chelsea itakavyokuwa baada ya usajili wa msimu wa 2020/2021 wa akina Havertz, Timo, Ziyech na bila ya Jo, Kante, Barkley na Emerson

4-2-3-1

Timo Werner
Mount - Havertz - Ziyech
Kovacic - Gilmour
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

4-3-3
Timo Werner - Havertz - Ziyech
RLC - Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

3-4-3
Timo Werner - Havertz - Ziyech
Alonso - Gilmour - Kovacic - James
Chilwell - Rudiger - Christensen
KEPA
4-2-2
Timo Werner - Abraham
Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA

4-2-2
Timo Werner - Havertz
Gilmour - Kovacic
Chilwell - Rudiger - Christensen - James
KEPA
Wapi pulisic?
 
Mashabiki waonyesha hisia zao kwenye Twitter baada ya taarifa za usajili wa Havertz
1591759850097.png

1591759866257.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom