Hao ni pasua kichwa, wakati wewe unajitahidi hata kuweka mtiririko na evidence yeye anajumlisha maandiko hata bila kuyasoma na kucriticise
Nakumbuka nikiwa pale chuo kikuu miaka ile ya 90's++ kulikuwa na migomo mingi iko engineered na vijana wanaosoma uhandisi. wakishaona mitihani imewajia kushoto wanazua migomo holela. Mara boom limechelewa, mara boom halitoshi na sababu kedekede ili tu waanzishe. Siku moja dean alipokuja pale kwenye square ya migomo kutoa taarifa kuwa boom limehsaingia kwenye akaunt alipomaliza tu, wakadakia wale wa kucritizise huku wakisema HATUTAKI, HATUTAKI!!
Huyu LONDON IS BLUE na ile id yake nyingine ni type ile ile, hata uandike point namna gani, yeye bila kusoma na kuelewa ni kukashfu tu na kucriticise