Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu zenye mishahara mikubwa ULAYA
View attachment 1380059
Liverpool mchezaji anayelipwa pesa nyingi ni Mo Salah 200k per week, wakati hiyo salary scale Arsenal kuna Auba,lacca na Mikhi pia wanalipwa hiyo pesa, hapo hujamgusia Ozil, Sijui hivi vitu huwa mnavitoa wapi!![emoji1745][emoji1745]
 
Liverpool mchezaji anayelipwa pesa nyingi ni Mo Salah 200k per week, wakati hiyo salary scale Arsenal kuna Auba,lacca na Mikhi pia wanalipwa hiyo pesa, hapo hujamgusia Ozil, Sijui hivi vitu huwa mnavitoa wapi!![emoji1745][emoji1745]
Unajua tofauti kati ya 200k na 200m? Au ulikimbia umande

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Giroud kasema anataka kubakia darajani baada ya kufunga goli dhidi ya Spurs ma kupewa dakika zaidi za kucheza
Lampard alipoulizwa kuhusu hilo akasema ni mapema sasa kuzungumzia usajili wa msimu wa kiangazi. Yeye anawazia mchezo unaofuatia wa Jumapili dhidi ya Everton
Huku Lazio na Inter bado wanamfuatilia Giroud
Giroud bado ni muhimu sana aise ..Lampard asifanye makosa kumuacha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina wasiwasi na Tomori bado yuko kwenye bad form anapitia kwenye wakati mgumu na hata leo nimesoma sehemu Fulani akikiri mwenyewe, bora Zouma japo ana makossa makossa ya kinamna namna
Tomori Anakwama sana anaishi ulaya alafu ana wakati mgumu?? Je sisi tunaoishi uku mavumbini tusemeje..

Apache kulia lia apige mpira..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watangazaji walikuwa wanasema hii lineup ya leo ndio the best starting XI ya Lampard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom